• News
business

SOPEL MOROGORO

<p>Kikao cha tathmini ya utendaji wa Shule ya Uhandisi Mahiri na Uongozi (SoPEL) kimefanyika leo, tarehe 6 Oktoba 2025, katika ofisi za shule hiyo zilizopo Morogoro, ambazo pia ni ofisi za ERB mkoa wa Morogoro. Kikao hicho kilijadili na kuwasilisha ripoti ya tathmini ya utendaji pamoja na mafanikio yaliyopatikana hadi sasa tangu shule hiyo ianze rasmi mwaka jana. Kikao hicho ni sehemu ya utaratibu wa Bodi kuhakikisha kuwa shule hiyo, ambayo ina mchango mkubwa kwa maendeleo ya wahandisi, inafikia malengo na kusudi lililokusudiwa kuanzishwa kwake.</p>

06/10/2025
READ MORE
business

Engineering Excellence through Mikumi Excursion via SGR

<p>The Engineering Registration Board (ERB) successfully coordinated a special excursion to Mikumi National Park on 28th September 2025, following the 22nd Annual Engineers Day (AED) celebrations held at the Mlimani City Complex, Dar es Salaam, from 25th to 26th September 2025.</p>

28/09/2025
READ MORE
business

ERB RUN FOR STEM 2025

<p>The Engineering Registration Board (ERB) successfully organized the ERB Run for STEM on Saturday, 27th September 2025, at the University of Dar es Salaam (UDSM) Grounds. The run aimed at promoting the teaching and learning of science subjects in secondary schools across Tanzania</p>

27/09/2025
READ MORE
business

ANNUAL ENGINEERS DAY 2025

<p>ERB SEPTEMBER TO REMEMBER 2025 at MLIMAN CITY CONFERENCE HALL</p>

25/09/2025
READ MORE
business

Innovation Requires Courage and Collaboration, Youth Told at YEF 2025

<p>Dar es Salaam &ndash; The Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Works, Dr. Charles Msonde, has called on young people to embrace innovation and resilience, noting that the future of Artificial Intelligence (AI) and technological advancement lies in their hands. Speaking at the closing ceremony of the Youth Engineering Forum (YEF) 2025, themed &ldquo;Engineering the Future: Youth-Driven Innovative Solutions Transformation,&rdquo; Dr. Msonde encouraged the youth to use their creativity as a driving force for national development</p>

24/09/2025
READ MORE
business

Youth Engineers Forum (YEF) 2025

<p>The Director General of the Commission for Science and Technology (COSTECH), Dr. Amos Nungu, has stressed the importance of young engineers in Tanzania establishing companies to protect and advance their innovations. Speaking during the opening ceremony while officiating the launch of the Youth Engineers Forum (YEF) in Dar es Salaam, Dr. Nungu said sustainable innovation will drive the growth of industries, create jobs, and stimulate the country&rsquo;s economic development.</p>

23/09/2025
READ MORE
business

NEW INDUCTION SEMINAR FOR NEW EMPLOYEES

<p>Induction seminar for new employees was held at Mhandisi Annex, Dodoma office from 8th t0 11th september 2025.&nbsp;</p>

09/09/2025
READ MORE
business

USIKOSE KUPATA NAKALA LA GAZETI LA ERB MWEZI AGOSTI

<p>USIKOSE KUPATA NAKALA LA GAZETI LA ERB MWEZI AGOSTI KWA HABARI KEDEKEDE ZA KIHANDISI KUPITIA WEBSITE NA MITANDAO YA KIJAMII</p>

01/09/2025
READ MORE
business

PCEC MEETING

<p>PCEC Meeting held at Mhandisi Annex on August 27, 2025</p>

27/08/2025
READ MORE
business

INTERVIEWS FOR PROFESSIONAL ENGINEERS

<p>&quot;ERB imeendesha mahojiano kwa Wahandisi wa Kitaaluma wanaoupgradia hadhi ya kuwa <em>Consultant Engineers</em> na kutoka <em>Consultant Engineers</em> kwenda <em>Independent Consultant Engineers</em>. Hatua hii inalenga kuhakikisha ufanisi, weledi na viwango vya juu vya taaluma katika sekta ya uhandisi.&quot; Dar es Salaam PSSSF Commercial Complex ghorofa namba 12</p>

27/08/2025
READ MORE
business

PDAC MEETING

<p>PDAC meeting held at Mhandisi Annex, first floor on August 27, 2025</p>

27/08/2025
READ MORE
business

AEQSRB ZANZIBAR WATEMBELEA OFISI ZA DODOMA

<p>Bodi ya usajili wa Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo (AEQSRB) kutoka Zanzibar wamewasili katika ofisi za Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Dodoma siku ya leo tarehe 21 Agosti, 2025 kwa lengo la ziara ya siku mbili jijini Dodoma. Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha ushirikiano pamoja na kufuatilia utekelezaji wa makubaliano na kubadilishana uzoefu katika uendeshaji wa bodi zote mbili. Aidha ziara hiyo inahusisha utembeleaji wa miradi mikubwa ya Ujenzi, ikiwemo mji wa Serikali Mtumba, ujenzi wa kiwanja cha ndege Msalato na ujenzi wa barabara ya mzunguko (ring road). Ziara hiyo imeongozwa na Arch. Nassir Da-Costa na Mrajis, Mhandisi. Mansur Mohamed, ambapo katika ofisi za ERB Dodoma walipokelewa na mwenyeji wao Msajili Msaidizi Uendelezaji Wahandisi, Mhandisi Veronica Ninalwo aliyemwakilisha Msajili wa Bodi, ERB.</p>

21/08/2025
READ MORE
business

Msajili wa ERB Apongeza Wahitimu wa Mafunzo ya Ufundishaji wa Taaluma ya Uhandisi

<p><strong>Msajili wa ERB Apongeza Wahitimu wa Mafunzo ya Ufundishaji wa Taaluma ya Uhandisi ya SoPEL &ndash; Morogoro</strong></p> <p>Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mhandisi Bernard Kavishe, ametoa pongezi kwa wahitimu wa mafunzo ya ukufunzi wa taaluma ya uhandisi yaliyoandaliwa na Shule ya Uhandisi Mahiri na Uongozi (SoPEL), taasisi inayomilikiwa na ERB.</p> <p>Akizungumza katika hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika mkoani Morogoro, Mhandisi Kavishe alieleza kuwa ERB ina imani kuwa wahitimu hao wataimarisha mbinu za ufundishaji na uenezaji wa maarifa katika taasisi wanazofanyia kazi. Aidha, alisisitiza umuhimu wa kuendelea kujifunza mbinu bora za utoaji wa mafunzo ili kuboresha ufanisi wa uwasilishaji.</p> <p>Mhandisi Kavishe pia alieleza kuwa SoPEL inaendelea kuandaa mafunzo mengine yanayohusu <em>Price Adjustment</em>, yakilenga kuwawezesha wataalamu kufahamu kwa kina eneo hilo ambalo mara nyingi halieleweki vizuri. &ldquo;Serikali hupoteza mapato si kwa sababu ya wizi, bali kwa kukosekana kwa uelewa sahihi wa masuala ya <em>Price Adjustment</em>. Kupitia mafunzo haya, tunatarajia kutimiza malengo ya kuanzishwa kwa SoPEL,&rdquo; alisema.</p> <p>Kwa upande wake, msimamizi wa shule hiyo, Mhandisi Thereza Laurent, alifafanua kuwa mafunzo hayo yalihusisha zaidi mazoezi ya vitendo ambapo washiriki walipewa nafasi ya kuwasilisha mada wakitumia taaluma na uzoefu wao binafsi katika sekta ya uhandisi.</p> <p>Miongoni mwa wakufunzi wa mafunzo hayo, Mhandisi Gartius Rwenyagira aliwahimiza wahitimu kushirikisha maarifa waliyojifunza na wataalamu wengine ili kuongeza tija katika taaluma.</p> <p>Akizungumza kwa niaba ya wahitimu, Mhandisi Ronald Lwakatare alieleza kuwa mafunzo hayo yamewapa uwezo mkubwa wa kufundisha wenzao kwa kutumia maarifa waliyoyapata. &ldquo;Tumekuwa tukitegemea wataalamu kutoka nje kuendesha mafunzo, ilhali na sisi tuna uwezo huo. Hatua hii ya ERB ni muhimu kwa maendeleo ya nchi,&rdquo; aliongeza.</p> <p>Naye Mhandisi Veronica Ninalwo, Mkuu wa Idara ya Uendelezaji wa Taaluma ERB, alimshukuru Msajili kwa mchango wake mkubwa katika kuanzishwa kwa SoPEL, huku akiwataka wahitimu kuwa mabalozi wa shule hiyo na kuendelea kuhamasisha wataalamu wengine kujiendeleza.</p> <p>Katika mahafali hayo, wahandisi 14 kutoka taasisi mbalimbali walikabidhiwa vyeti baada ya kuhitimu mafunzo hayo ya siku saba.</p>

19/08/2025
READ MORE
business

ENGINEERING PRACTITIONERS COURSE STUDENTS AT SOPEL MOROGORO

<p>Engineering practitioners recently concluded a specialized training course at the School of Professional Engineering and Leadership (SoPEL) in Morogoro. The program, designed to enhance teaching skills and knowledge-sharing among engineers, brought together participants from various institutions across the country. Through practical sessions and peer-led presentations, the course empowered engineers to become more effective trainers and mentors within their fields. The training marks another milestone in ERB&rsquo;s efforts to build local capacity and promote excellence in engineering education.</p>

18/08/2025
READ MORE
business

ERB Letter Head (Final Approved Update)

<p>ERB Letter Head (Final Approved Update), Download the docx version from the Intranet -&gt;&nbsp;<em><strong>Document menu</strong></em></p>

14/08/2025
READ MORE
business

ERB JULY NEWSLETTER

<p>USIKOSE KUJIPATIA NAKALA YA GAZETI LA MWEZI WA SABA (ERB NEWSLETTER)</p>

11/08/2025
READ MORE
business

KHERI YA SIKU YA WAKULIMA NANE NANE

<p>ERB inawatakia wafanyakazi wote kheri ya siku ya wakulima Nane Nane&nbsp;</p>

08/08/2025
READ MORE
business

ENTRANCE AUDITING MEETING

<p>Entrance auditing meeting&nbsp;</p>

16/07/2025
READ MORE
business

HERI YA MAADHIMISHO YA SIKU YA SABA SABA

<p>SIKUKUU YA SABA SABA&nbsp;</p>

07/07/2025
READ MORE
business

USIKOSE KUTAZAMA KIPINDI CHA RNE SUCCESS STORY KUPITIA STAR TV

<p>usikose kutaza kipindi maalumu cha SEAP kupitia star tv&nbsp;</p>

05/07/2025
READ MORE
business

GHARAMA ZA KUKODI KUMBI ZA ERB

<p>Gharama za kukodi kumbi za ERB, Dodoma, Dar es Salaam na Morogoro</p>

30/06/2025
READ MORE
business

KIKAO CHA IDARA YA HABARI, UHUSIANO NA MASOKO, Dar es Salaam

<p>idara ya habari imefanya kikao ambapo ni utaratibu wa idara kukaa kikao kujadili na kufanya tathimin ya kazi zinazofanywa, kikao hiki kilifanyika Dar es salaam na udhuriwa na wadau wengine wa habari</p>

26/06/2025
READ MORE
business

MCHANGO WA WAHANDISI NA TEKNOLOJIA MPYA KATIKA UJENZI WA DARAJA LA KIGONGO BUSISI

<p>Msajili wa bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) Mhandisi Bernard Kavishe amesema daraja la J.P.MAGUFULI ni daraja lenye viwango vya nyota Tano,kutokana na Daraja hilo kujengwa kwa viwango vya Kimataifa,iwemo kuwa na uwezo wa kupunguza ajali,kujengwa na wahandisi wenye viwango vya kimataifa ,pamoja na matumizi ya teknolojia za kisasa.<br /> &quot;Daraja hilo lina njia mbili za kwenda na njia mbili za kurudi ,na njia hizo zimetenganishwa hivo kutokea kwa ajali katika daraja hilo uwezekano ni karibia 0%,Pia daraja hilo inatambulika kimataifa kwa kuwa daraja la sita kwa urefu barani Afrika.&quot;.<br /> Amesema Mhandisi Kavishe wakati akizungumza na waandishi wa habari katika daraja hilo litakalozinduliwa leo na rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.</p>

19/06/2025
READ MORE
business

AWAY FROM OFFICE TRAVELLING TO MWANZA

<p>The Registrar will participate in the opening ceremony of the Kigongo-Busisi Bridge, Mwanza.</p>

18/06/2025
READ MORE
business

AWAY FROM OFFICE TRAVELLING TO MWANZA

<p>The Registrar will participate in the opening ceremony of the Kigongo-Busisi Bridge, Mwanza.</p>

18/06/2025
READ MORE
business

CAPACITY BUILDING ON MONITORING AND EVALUATION

<p>The Board is schedual to conduct a capacity- building session for staffs on Monitoring and Evaluation (M&amp;E) for RNE project support for the Professional Development of Female Engineers from June 17 to 22, 2025 at Morogoro SOPEL Office.&nbsp;</p>

17/06/2025
READ MORE
business

ERB and RNE Strengthen Partnership with Focus on Female Engineers

<p>The Engineers Registration Board (ERB) and the Royal Norwegian Embassy (RNE) recently held a fruitful second meeting, solidifying their collaborative efforts to empower female engineers in Tanzania. The partnership supports a three-year program aimed at fostering professional growth and leadership among women in the engineering sector.</p> <p>Under this initiative, 100 female engineering graduates&mdash;80 from Mainland Tanzania and 20 from Zanzibar&mdash;will undergo training to qualify for professional registration as engineers. Additionally, 35 women professionals will receive advanced training in leadership and management through the &quot;Female Future&quot; program, equipping them to take on roles in boardrooms and executive management.</p> <p>During the meeting, Ms. Camilla Danneving, Councilor at RNE, and Mr. Morten Heide were presented with a special souvenir by the ERB Registrar on behalf of Her Excellency, RNE Ambassador Ms. Ton Tinnes. This gesture symbolized the shared commitment to advancing gender equity and professional development in the engineering field.</p> <p>This collaboration marks a significant step towards enhancing inclusivity and leadership diversity within Tanzania&#39;s engineering landscape.</p>

16/06/2025
READ MORE
business

ERB and TANESCO Hold Strategic Retreat to Facilitate TANECU Registration in Arusha

<p>&nbsp;In a strategic move to streamline engineering consulting operations and strengthen regulatory compliance, the Engineers Registration Board (ERB) and the Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) have commenced a retreat in Arusha aimed at guiding the registration process for the TANESCO Engineering Consulting Unit (TANECU).</p> <p>The retreat, held from June 16 to 22, 2025 brings together key representatives from both ERB and TANESCO to deliberate on registration procedures, compliance requirements, and post-registration expectations for TANECU and TANESCO&rsquo;s engineering staff.</p> <p>The ERB delegation, led by Assistant Registrar Eng. Jamhuri Msabila, includes Eng. Abraham Kaaya (SEAP Programme Officer) and Ms. Lightness Mrema (Registration Officer). This team will be facilitating the sessions and offering detailed insights into engineering regulatory frameworks in Tanzania.</p>

16/06/2025
READ MORE
business

USIKOSE KUTAZAMA KIPINDI CHA EATD 2025

<p>Usikose kutazama kipindi maalumu cha mkutano wa mwaka (EATD) KUPITIA TBC&nbsp;</p>

12/06/2025
READ MORE
business

ERB SOCIAL NETWORK VERIFIED

<p>ERB social medias are now verified&nbsp;</p>

11/06/2025
READ MORE
business

BOARD MEETING IN DAR ES SALAAM

<p>kikao cha bodi ya ERB kinatarajiwa kufanyika Ijumaa tarehe 13/06/2023 ofisi ya Dar es Salaam PSSSF Commercial complex ghorofa numba 12.</p>

11/06/2025
READ MORE
business

ICT MEETING

<p>Kikao cha ICT kilichojumuisha wajumbe mbalimbali wakati wa uwasilishwaji wa repoti ya mwaka. kikao hicho kilifanyika ofisi za Dodoma Mhandisi Annex ghorofa ya kwanza</p>

07/06/2025
READ MORE
business

YOUTH ACCELERATION PROGRAM

<p>Mtendaji wa mkuu wa bodi ya mfuko wa barabara Mhandisi Rashid Kalimbaga, amesema bodi hiyo itaunga mkono mpango wa Youth acceleration program,mpango ulioanzishwa na bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) kwa lengo la kuwasaidia vijana kujitambua kwa kunoa bunifu na taaluma zao ili waweze kuanzisha biashara zao wenyewe.<br /> Mhandisi Kalimbaga ameyasema hayo katika kongamano la vijana katika Sayansi na Teknolojia 2025 (Youth in science and technology summit 2025), lililoandaliwa na taasisi ya SERIS kwa kushirikiana na bodi ya usajili wa wahandisi (ERB).</p> <p>&nbsp;&ldquo;Nawasisitiza vijana kuwa sio rahisi, lakini inawezekana,na sera ya wizara ya ujenzi ni kuwawezesha vijana kutekeleza miradi ya ndani kwani kwa kufanya hivyo itasaidia taifa kubakiza fedha za ndani ya nchi badala ya kutumia wataalam kutoka nje&rdquo;amesema Mhandisi Kalimbaga<br /> Pia ameeleza kuwa vijana wa kitanzania wakishakuwa wahandisi,wabunifu,wakadiria majenzi na washauri wa miradi wazuri hakutakuwa tena na haja ya kuwachukua wataalam kutoa nje.<br /> Awali msajili wa bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) ,Mhandisi Bernard Kavishe amesema licha ya vijana hao kufundishwa masula mabalimbali kuhusu uanzishwaji wa biashara zao ikiwemo namna ya kubuni &nbsp;mawazo ya biashara na uandishi wa andiko la mradi,ERB itaendelea kuwalea vijana watakao andika miradi kwani elimu hiyo haina mwisho.<br /> Mhandi Kavishe pia amewataka vijana hao kujiweka sawa kukabili soko la kimataifa kwa kujifunza lugha za kigeni ikiwemo lugha ya kingereza kwani kwenye soko la dunia lugha hiyo haikwepeki.<br /> &ldquo;Nili kwenda kwenye moja ya nchi ya umoja wa Ulaya,na Amerika nimebaini kuwa kuna uhaba mkubwa wa Wahandisi, wataalam wa afya na wataalam wa lishe,Watanzania wanahitajika huko,kwahiyo vijana wa Kitanzania lazima muwe na sifa ya kufikia soko hilo&rdquo;. Ameeleza Mhandisi Kavishe.<br /> Kongamano la Vijana katika Sayansi na Teknolojia 2025 (Youth in science and technology summit 2025),bado linaendelea jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa PSSSF commercial Complex ambapo vijana kutoka sehemu mbalimbali wanapata elimu ya namna ya kubuni, kuandika maandiko miradi pamoja na kuendeleza bunifu zao.</p>

03/06/2025
READ MORE
business

YOUTH IN SCIENCE AND TECHNOLOGY

<p>Youth acceleration program,mpango ulioanzishwa na bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) kwa lengo la kuwasaidia vijana kujitambua kwa kunoa bunifu na taaluma zao ili waweze kuanzisha biashara zao wenyewe.</p>

03/06/2025
READ MORE
business

ERB YAKAMILISHA MCHAKATO WA ISO

<p>ERB yakamilisha mchakato wa ISO katika ofisi za makao Makuu Dodoma&nbsp;</p>

27/05/2025
READ MORE
business

ERB IKIENDELEA NA ISO

<p>Kitengo cha enfoncement kwenye mahojiano na wakaguzi kutoka TBS kuhusiana na ISO</p>

26/05/2025
READ MORE
business

ERB YAFANYA MAZUNGUMZO NA MUHAS KUHUSU WAHANDISI

<p>Eng. kavishe awahasa wahandisi wa vifaa tiba kusajiliwa na Bodi</p>

24/05/2025
READ MORE
business

ERB YAWAPELEKA MAFUNDI SANIFU MIKUMI KUPITIA SGR

<p>ERB yahitimisha mkutano wa mafundi sanifu kwa kufanyaa utalii wa mikumi Morogoro kupitia SGR</p>

23/05/2025
READ MORE
business

DAY ONE EATD, 2025

<p>Matukio ya picha siku ya kwanza ya mkutano wa 7 wa mafundi sanifu</p>

21/05/2025
READ MORE
business

MATUKIO EATD DAY ONE

<p>Washiriki wakifatilia mkutano wa mafundi sanifu</p>

21/05/2025
READ MORE
business

EATD 2025

<p>Maandalizi kuelekea mkutano mkuu wa mafundi sanifu 2025 utakao fanyika PSSSF COMERCIAL COMPLEX Dar es Salaam tarehe 21 na 22 Mei 2025</p>

20/05/2025
READ MORE
business

OSHA, KUFANYA VIPIMO KWA WAFANYAKAZI WA ERB

<p>OSHA imefanya vipimo kwa wafanyakazi wa ERB, kwa kuhakikisha usalama kazin kwa wafanyakazi&nbsp;</p>

17/05/2025
READ MORE
business

Adv. Mercy G. Jilala leo tarehe 16/05/2025 amehitimu masomo yake ya Uongozi katika Taasisi ya Uongozi. Tumpongeze

<p>Adv. Mercy G. Jilala leo tarehe 16/05/2025 amehitimu masomo yake ya Uongozi katika Taasisi ya Uongozi. Tumpongeze</p>

16/05/2025
READ MORE
business

Productive Engagement with NHC Morogoro: Discussing Upgrades and Enhancements

<p>&nbsp;We Yesterday invited the NHC Morogoro Manager, Mr Lwitiko, He sent his Engineer and later came accompanied by MS. Lilian, Estate officer = We had a good discussion on a range of things (10 points in the end), from isolating our TANESCO connection, upgrading to 3Phase, expansion of floor area, repairs of loos, tiles and roof, back up Generator installation, the state of basement parking, road/building interphase, safety of the walkway, and signs littering the lobby</p>

14/05/2025
READ MORE
business

TANZIA

<p>ERB Inatoa pole kwa msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya mawasiliano Ikulu, Zanzibar Charles Hilary</p>

12/05/2025
READ MORE
business

KILA LA HERI, KIDATO CHA SITA

<p>Kila la heri kidato cha sita, 2025</p>

09/05/2025
READ MORE
business

TANZIA

<p>Pumzika kwa Amani, Mhe Cleopa David Msuya&nbsp;</p> <p>Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano Wa Tanzania.</p>

08/05/2025
READ MORE
business

KAZI ZA KIHANDISI KWENYE SGR ILIVYORAHISISHA UTALII MIKUMI

<p>KAZI ZA KIHANDISI KWENYE SGR ILIVYORAHISISHA UTALII MIKUMI<br /> &nbsp;Safari kuelekea katika hifadhi ya taifa ya mikumi mkoani Morogoro,safari hii imelenga kuonesha ni kwa kaishi gani kazi za kihandisi inavyochechemua sekta zingine,<br /> Jijini Dar es salaam, katika stesheni ya MAGUFULI,kituo cha kupandia treni ya mwendo kasi,SAFARI inaanzia hapa kwa kushughudia kazi nzuri iliyotukuka iliyofanywa na wahandisi katika ujenzi wa jengo hili la kisasa,<br /> Bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) imeandaa safari ya utalii kuelekea katika hifadhi ya taifa ya Mikumi,lengo likiwa ni kuonesha ni kwa kiasi gani SGR &nbsp;ambayo ni zao la kazi za kihandisi,ilivyo rahisisha usafiri.<br /> Kazi hii ya kihandisi kwa hakika imeleta mapinduzi makubwa katika uchumi ikiwemo kuongeza hamasa ya utalii.<br /> Katika hifadhi ya taifa ya mikumi kila aliyefika hapa hakusita kueleza umuhimu wa treni ya SGR katika kurahisisha utalii katika hifadhi hii ya taifa ya mikumi,na vivutio vingine katika ukanda huo.<br /> Bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) wanasema huu sio mwisho,bali ni mwendelezo wa kuhamasisha shughuli za utalii kwa wazawa na wageni kupitia SGR .</p>

07/05/2025
READ MORE
business

WAHANDISI KULA KIAPO MWANZA

<p>Wahandisi jijini wapata fursa ya kula kiapo leo tarehe 2 mei 2025 katika ofisi za Tanroad, Mwanza</p>

02/05/2025
READ MORE
business

ERB YAENDELEA KUTOA HUDUMA KANDA YA ZIWA MWANZA

<p>Erb inaendelea na kutoa huduma kanda ya ziwa Mwanza, kwa ukaguzi wa miradi, utoaji leseni na kiapo kwa wahandisi.</p>

01/05/2025
READ MORE
business

KHERI YA SIKU YA WAFANYAKAZI

<p>ERB inaungana na wafanyakazi wote kusherehekea siku ya wafanyakazi dunuani</p>

01/05/2025
READ MORE
business

HONGERA ENG MARY NINDI

<p>Hongera Eng Mary Nindi kuwa mfanyakazi bora mwaka 2025.&nbsp;</p>

01/05/2025
READ MORE
business

ERB KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI MKOANI SINGIDA

<p>ERB imeshiriki maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani ambapo kitaifa imefanyika Mkoani Singida</p>

01/05/2025
READ MORE
business

WORKSHOP FOR ICT DOCUMENTS

<p>Workshop ya ICT documents.. tarehe 28 mpaka 2 may</p> <p>Kuandaa two ICT documents..<br /> 1. Draft Disaster Recovery and Backup Plan<br /> 2. Draft AI policy</p>

01/05/2025
READ MORE
business

STEM MKOA WA GEITA

<p>Bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) imeendelea kutoa huduma zake katika mikoa ya kanda ya ziwa ikiwemo Mwanza,Geita,Mara na Kagera.<br /> Wakiwa mkoani Geita Maafisa wa ERB wakiongozwa na msajili wa bodi ya Wahandisi (ERB) Mhandisi Bernard Kavishe, wakiambatana na viongozi wa elimu wa wilaya ya Geita, wametembelea shule mbili za za sekondari za Wasichana, Nyankumbu ,pamoja na shule ya sekondari ya Geita. &nbsp;Geita Girls ni shule mpya, miongoni mwa shule kubwa 26 za mama Samia, shule hizi zimejengwa kila mkoa, za sahansi, mahsusi kwa wasichana.<br /> Bodi hiyo metembelea katika shule hizo kwa lengo la Kuchagiza ufundishaji na usomaji wa masomo ya Sayansi na Hisabati (STEM), kwa msisitizO maalumu kwa wasichana bila kuwaacha wavulana nyuma. &nbsp;<br /> &ldquo;Sayansi na Hisabati ndio mbegu inayootesha mti wa uhandisi, ndio msingi ambao nyumba ya uhandisi inajengwa&rdquo; &nbsp;Amesisitiza Msajili wa bodi ya wahandisi, Mha. Bernard Kavishe</p>

01/05/2025
READ MORE
business

MUUNGANO DAY

<p>Happy MUUNGANO DAY&nbsp;</p>

26/04/2025
READ MORE
business

KATIBU TAWALA WA MKOA WA GEITA ATEMBELEA BANDA LA ERB GEITA.

<p>KATIBU TAWALA WA MKOA WA GEITA ATEMBELEA BANDA LA ERB GEITA.<br /> Katika maonesho ya MAT BUILDERS&rsquo; EXPO 2025,<br /> Kaimu katibu tawala wa mkoa wa Geita Charles Chacha, ametembelea banda la Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), katika maonesho ya MAT BUILDERS&rsquo; EXPO 2025 yanayoendelea katika Mkoa wa Geita katika viwanja vya Samia Suluhu Hassan Bombambili katika Manispaa ya Geita.<br /> Akiwa katika banda la ERB Chacha ametoa msisitizo kwa bodi kutembelea katika miradi mikubwa inayotekelezwa katika mkoa huo,ili ERB ihakikishe miradi hiyo inatekelezwa kwa viwango na kwa ubora unaohitajika.<br /> Katibu Tawala Chacha pia amefungua maonesho hayo rasmi &nbsp;ya MAT BUILDERS&rsquo; EXPO 2025 ambayo yanaendelea katika mkoa huo,huku kilele chake ikitarajiwa kuwa tarehe 27 Mei 2025.</p>

21/04/2025
READ MORE
business

ERB YASHIRIKI MAONYESHO YA MAT BUILDERS IN GEITA

<p>ERB yashiriki maonyeshesho ya MAT BUILDERS AND EXPO Mjini Geita kuanzia tarehe 18 hadi tarehe 19 mwezi Aprili 2025</p>

18/04/2025
READ MORE
business

WANASHERIA KUSHIRIKI MKUTANO WA MWAKA

<p>WANASHERIA KUSHIRIKI MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI</p>

14/04/2025
READ MORE
business

ERB, PERTICIPATED IN 16th CIDC Vishwakarma Awards, 11th April, New Delhi

<p>16th CIDC Vishwakarma Awards, 11th April, New Delhi</p>

13/04/2025
READ MORE
business

SALAM ZA POLE

<p>SALAMU ZA POLE</p>

13/04/2025
READ MORE
business

ERB Visit India

<p>Earlier today, 13 April 2025, had a priviledge to officiate a graduation veremony on the program on construction claims and mediation in construction disputes Mwenyekiti was the guest of honour - The class was mostly retired army officers, mostly engineers, predominanly male. The course was mediation intensive, with a pinch of project and contract mqnqgement skills. India is drifting away from arbitration, as it has proven not to yield intened results, much as is ADR, there is a loop hole leading back to litigation, tajing it back to square one, timewise. We have today learned alot and planted another seed for collaboration in ADR spave = Good Night</p>

13/04/2025
READ MORE
business

WAHANDISI WAHITIMU WAHIMIZWA KUZINGATIA MAADILI

<p>Kaimu Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), CPA. Paul Bilabaye, amewataka wahandisi wahitimu wanaoshiriki mafunzo ya vitendo kupitia programu ya SEAP, kuhakikisha wanazingatia miiko na maadili ya taaluma yao wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.<br /> CPA Bilabaye ameyasema hayo wakati wa &nbsp;kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa siku tatu,ambapo ameeleza kuwa taaluma ya uhandisi ina miiko yake,hivyo ni wajibu wao kuhakikisha wanajitofautisha katika utendaji wao ukilinganisha na wale wanaofanya kazi hizo.<br /> &nbsp;</p>

10/04/2025
READ MORE
business

NORWAY KUENDELEA KUWEZESHA WAHANDISI WANAWAKE NCHINI

<p>Balozi wa Norway nchini Tanznaia, Bi. Tone Tinnes amesema nchi ya Norway itaendelea kuunga mkono wahandisi kutokana na umuhimu wao katika kuinua uchumi wa nchi, Balozi Tinnes, amesema uchumi wa taifa la Norway umekuzwa na wahandisi baada ya kubadili maporomoko ya maji na kufanya kuwa nishati ya umeme na mbolea, ambapo baadae pia katika miaka ya 70 waligundua gesi na mafuta ambayo pia iliendelezwa na wahandisi.&nbsp;<br /> Ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya 19 ya vitendo kwa wahandisi wahitimu, mafunzo ambayo yanajulikana kwa jina la SEAP, mpango ambao umeanza mwaka 2003. Mafunzo hayo hutolewa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kwa kuwapatia wahandisi wahitimu kufanya mafunzo ya vitendo kwa kipindi cha miaka mitatu.&nbsp;<br /> &ldquo;kupitia mradi huu wa SEAP mpaka sasa tumedhamini kwa takribani miaka 15,na lengo letu ni kuona wahandisi wanawake wanaongezeka ,ili kuwe na uwiano wa kijinsia katika fani hiyo. Amesema balozi Tinnes.&nbsp;<br /> &nbsp;</p>

08/04/2025
READ MORE
business

EID MUBARAK

<p>ERBinawatakia wafanyakazi wote Sikukuu njema ya Eid Mubarak</p>

31/03/2025
READ MORE
business

WOMEN IN ENGINEERING

<p>Women in Engineering</p>

26/03/2025
READ MORE
business

The Board has scheduled a preliminary inquiry to review the allegations of professional misconduct reported

<p>The Board has scheduled a preliminary inquiry to review the allegations of professional misconduct reported to the Board by the ministry of done by engineers of Tarula in Mara region and Dar es salaam city Council in several engineering project, the meeting is Intended to provide an opportunity to engineers to present their defense.</p>

24/03/2025
READ MORE
business

ERB VISIT TARANGIRE NATIONAL PARK

<p>ERB visit tarangire national park&nbsp;</p>

20/03/2025
READ MORE
business

The EngineeERB has conducted a site visit to the Arusha Football Stadium construction project

<p>The Engineers Registration Board (ERB) has conducted a site visit to the Arusha Football Stadium construction project to monitor compliance with regulations. This stadium is key to preparing for AFCON 2027 and will serve as a catalyst for economic development and tourism in Arusha City.</p>

18/03/2025
READ MORE
business

Data Protection Training

<p>Data Protection Training&nbsp;<br /> The Board Members and Management Team will commence their visit to Arusha with a training session on Personal Data Protection at Corridor Springs Hotel. The training facilitated by the Personal Data Protection Commission (PDPC).<br /> The training is aiming on Personal Data Protection is to enhance the Board Members&#39; and Management Team&#39;s understanding of data privacy principles, compliance requirements, and best practices, enabling them to safeguard sensitive information and ensure adherence to regulatory standards.<br /> The trip will conclude with a visit to Tarangire National Park, offering an opportunity for relaxation and team-building activities.</p>

17/03/2025
READ MORE
business

ERB NA TASAC WAFANYA MAZUNGUMZO

<p>ERB imekutana na Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa mazungumzo yaliyolenga kubadilishana uzoefu katika fani ya uhandisi. Mazungumzo hayo yaliongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TASAC, Bw. Mohamed M. Salum, akiwa pamoja na wajumbe wake, huku wajumbe wa ERB wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Ithibati ya Mitaala ya Taaluma ya Kihandisi, Eng. Nerey Mvungi.&nbsp;<br /> Katika mazungumzo hayo, ERB ilipata nafasi ya kujifunza zaidi kuhusu uhandisi wa bahari, ikiwemo changamoto zilizopo, fursa zinazopatikana, na kanuni zinazohusiana na sekta hiyo.<br /> Pia, kikao hicho kiliazimia kuandaa kikao kazi kingine ambacho kitashughulikia uandaaji wa mahitaji (requirements) yatakayowezesha wahandisi bahari kusajiliwa na ERB. Hatua hii inalenga kuwawezesha wahandisi bahari kutambulika kitaaluma na kuthibitisha mchango wao muhimu katika kazi za kihandisi wanazofanya.</p>

13/03/2025
READ MORE
business

ERB, YAFANYA MAZUNGUMZO NA DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE (DMI)

<p>ERB imefanya mazungumzo na chuo cha mabaharia kilichopo posta Jijini Dar es Salaam kuhusiana na namna nzuri ya usajili kwa wahatimu wa kihandisi wanahitimu katika chuo hicho.</p>

11/03/2025
READ MORE
business

MSAJILI AKIENDELEA NA UFUATILIAJI WA MIRADI MJINI TANGA

<p>Msajili anaendelea na ufuatiliaji wa miradi jijini Tanga&nbsp;</p>

11/03/2025
READ MORE
business

ERB, Visit United African University in Tanzania (UAUT), Kigamboni, Dar es Salaam.

<p>ERB&rsquo;s, Engineering Programmes Awards Recognition Committee (EPARC) Evaluates, &ldquo;Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology Programme Under United African University in Tanzania (UAUT), Kigamboni, Dar es Salaam.</p>

10/03/2025
READ MORE
business

ERB, YASHIRIKI SIKU YA MWANAMKE KITAIFA JIJINI ARUSHA

<p>ERB, KUSHIRI KITAIFA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI JIJINI ARUSHA&nbsp;</p>

08/03/2025
READ MORE
business

ERB, INASHEREKEA NA KUENZI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

<p>ERB inathamini na kutambua mchango wa wanawake katika Uhandisi.</p>

08/03/2025
READ MORE
business

KHERI YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

<p>ERB inawatakia wanawake wote siku ya mwanamke duniani.&nbsp;</p>

08/03/2025
READ MORE
business

ERB na BAKITA Wajadili Utaratibu wa Tafsiri ya Vyeti vya Taaluma ya Uhandisi kwa Wahandisi Wageni

<p><strong>ERB na BAKITA Wajadili Utaratibu wa Tafsiri ya Vyeti vya Taaluma ya Uhandisi kwa Wahandisi Wageni</strong></p> <p>Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) imefanya kikao na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) leo, tarehe 7 Machi 2025, katika ofisi za BAKITA zilizopo jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalilenga kujadili utaratibu wa usajili wa wataalamu wa kigeni wa kada ya uhandisi, hususan kuhusu mchakato wa kutafsiri vyeti vya taaluma ya uhandisi vya wahandisi wageni, ambavyo ni mojawapo ya masharti muhimu katika kupata kibali cha kufanya kazi nchini Tanzania.</p> <p>Kikao hicho kiliongozwa na Ndugu Shaawal Marinda, Mfasiri kutoka BAKITA, na kilihusisha majadiliano ya kina kuhusu njia bora na sahihi za kutafsiri vyeti vya kitaaluma. Lengo kuu lilikuwa kuhakikisha kwamba tafsiri za vyeti hivyo ni za viwango vya juu, zinaendana na mahitaji ya kitaalamu, na zinaeleweka kwa usahihi na wadau husika.</p> <p>Aidha, kikao hicho kililenga kutatua changamoto zilizojitokeza katika mchakato wa tafsiri, kama vile utofauti wa istilahi za kiufundi na kiuhandisi katika lugha mbalimbali. Mazungumzo haya yanatarajiwa kuimarisha mchakato wa usajili wa Wahandisi wageni na kuweka msingi thabiti wa ushirikiano kati ya ERB na BAKITA kwa maendeleo ya sekta ya uhandisi nchini.</p>

07/03/2025
READ MORE
business

WAFANYAKAZI ERB WASHIRIKI MKUTANO WA TRAMPA- MBEYA

<p>Wafanyakazi wa kitengo cha RECORDS wameshiriki mkutano wa Records &amp; Archives Management Professional Management (TRAMPA) unaofanyika jijini Mbeya.&nbsp;</p>

06/03/2025
READ MORE
business

Tanzania Delegation in Gaborone, Botswana today, 4th March, 2025

<p>Tanzania Delegation in &nbsp;Gaborone, Botswana today, 4th March, 2025</p>

05/03/2025
READ MORE
business

ERB to Establish Engineering Programmes Awards Recognition Committee (EPARC)

<p>The Engineers Registration Board (ERB) is set to establish the Engineering Programmes Awards Recognition Committee (EPARC), a strategic initiative to streamline the recognition and accreditation of engineering programs.</p> <p>EPARC will be tasked with drafting its charter, developing a manual for diploma engineering program recognition, creating activity schedules, establishing procedures for accrediting engineering programs, and compiling a comprehensive database of higher education institutions and colleges offering engineering diplomas and programs.</p> <p>This move is expected to enhance the Board&#39;s capability to efficiently and thoroughly assess and recognize engineering programs. The committee will be responsible for approving engineering programs, monitoring their implementation to ensure compliance with quality standards, and recommending program suspension where necessary.</p> <p>Additionally, EPARC will carry out engagement with institutions such as the United African University in Tanzania, the Dar es Salaam Marine Institute (DMI), BAKITA, and TASAC to address critical engineering matters, including program recognitions requirements.</p> <p>These plans were discussed during a meeting held at the ERB offices in Dar es Salaam, located at the PSSF Commercial Complex chaired by Eng. Prof. Nerey Mvungi and coordinated by the ERB secretariat. The session emphasized the Board&#39;s commitment to advancing excellence in engineering education and professional practice standards.</p> <p>&nbsp;</p>

04/03/2025
READ MORE
business

WITHDRAW OF REGISTRATION

<p>WITHDRAW OF REGISTRATION</p> <p>DOWNLOAD THE LIST BELOW</p>

04/03/2025
READ MORE
business

CPA PAUL BILABAYE, ARTICLE

<p>CPA PAUL BILABAYE, ARTICLE</p>

03/03/2025
READ MORE
business

ERB KUSHIRIKI MBIO, KAMPALA UGANDA

<p>ERB imeshiriki mbio za Annual Engineers Run zinazofanyika, nchini Uganda, ambapo wawakilishi kutoka ERB wameshiriki wakiongozwa na Msajili wa Bodi hiyo</p>

02/03/2025
READ MORE
business

ERB MEETING WITH EACOP REPRESENTATIVE

<p>ERB imekutana na wawakili kutoka EACOP wakiongelea maswala ya compliance kwenye miradi</p>

25/02/2025
READ MORE
business

ERB Partners with EAC and GIZ to Advance Digital Tool for Engineers

<p>ERB Partners with EAC and GIZ to Advance Digital Tool for Engineers</p> <p>The Engineer Registration Board of Tanzania (ERB Tanzania) is collaborating with the East African Community (EAC) on a groundbreaking initiative to promote regional trade and integration through digitalization. The project, titled &quot;Digitalization for East African Trade and Integration (DIGEAT),&quot; is funded by the German Federal Ministry for Economic Cooperation and Development (BMZ) and implemented through Deutsche Gesellschaft f&uuml;r Internationale Zusammenarbeit (GIZ).</p> <p>A key component of this project is the development of a Mutual Recognition Agreement (MRA) Digital Tool aimed at simplifying the issuance of Mutual Recognition credentials within the EAC. These credentials will facilitate the mobility of engineering professionals across member states, fostering regional integration and economic growth.</p> <p>To achieve this goal, GIZ EAC engaged a consulting firm from Pakistan to design, develop, and deploy the digital tool. Two experts from the consulting team, Nisar Muhammad Faisal and Zahid Fatima, actively contributed to the initiative through virtual participation on the ZOOM platform.</p> <p>A milestone meeting for this project took place at the ERB headquarters in Dodoma on February 24, 2025. The gathering brought together key stakeholders to review progress and strategize on the next steps for the successful implementation of the MRA Digital Tool.</p> <p>This collaborative effort underscores ERB commitment to advancing the engineering profession while aligning with regional and international standards. It also highlights the vital role of technology in enhancing professional mobility and driving economic integration across East Africa.</p>

24/02/2025
READ MORE
business

Msajili ameshiriki mbio za Kill Marathon, leo tarehe 23 Feb. 2025

<p>Msajili ameshiriki mbio za Kill Marathon, leo tarehe 23 Feb. 2023</p>

23/02/2025
READ MORE
business

Hongera Bi. Sharon

<p>Bi. Sharon Kissimbo amechumbiwa siku jana tarehe 22/02/2025 na anatarajia kufunga ndoa mwezi Mei mwaka huu. Tumpongeze mtumishi mwenzetu kwa hatua hii muhimu katika maisha yake pamoja na kumshika mkono kuelekea kuhitimisha jambo hilo.</p>

23/02/2025
READ MORE
business

Culture change seminar in Dar es Salaam Office

<p>Culture change seminar in Dar es Salaam Office</p>

21/02/2025
READ MORE
business

Hongera kwa Eng. Veronica Ninalwo (AR-PDA), Adv. Mercy Jilala (Head of Legal Unit) na Eng. Angela Andrew (Head of ICT Unit)

<p>Hongera kwa Eng. Veronica Ninalwo (AR-PDA), Adv. Mercy Jilala (Head of Legal Unit) na Eng. Angela Andrew (Head of ICT Unit) kwa kuhitimu Programu ya Mwanamke Kiongozi (Female Future Program)</p>

21/02/2025
READ MORE
business

WAFANYAKAZI ERB, KUPIMA AFYA ZAO

<p>Kupitia kikao cha wafanyakazi, upimaji wa afya umefanyika wa wafanyakazi kupima afya zao na kupata elimu kuhusu magonjwa yasio ambukizwa</p>

20/02/2025
READ MORE
business

Kikao kazi cha wafanyakazi kimefunguliwa leo tarehe 18/02/2025 na Msajili

<p>Msajili wa Bodi ya Wahandisi, Mhandisi Bernard Kavishe, leo tarehe 18 Februari 2025, amefungua na kuongoza kikao kazi cha wafanyakazi wa Bodi hiyo kilichofanyika katika ofisi za Bodi zilizopo Dodoma, kwenye Jengo la Mhandisi Annex, ghorofa ya kwanza. Kikao hiki kinalenga kuwapatia wafanyakazi ujuzi na maarifa muhimu katika nyanja mbalimbali katika utekelezaji wa majuku ya kila siku.</p> <p>Miongoni mwa masuala jadiliwa ni mbinu bora za utunzaji wa nyaraka na kumbukumbu pamoja na elimu ya jinsi ya kukabiliana na majanga ya moto, ambayo yametolewa na maafisa kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Kikao kazi hicho cha siku tatu, pia kitajumuisha zoezi la upimaji wa afya kwa wafanyakazi wote, ili kuhakikisha wanakuwa na afya njema inayochangia ufanisi wao kazini.</p> <p>Huu ni utaratibu ERB kuandaa vikao vya wafanyakazi, kwa lengo la kuboresha ufanisi na kuwawezesha wafanyakazi kupata elimu ya kina pamoja na ujuzi unaohitajika katika kutekeleza majukumu yao kikamilifu.</p>

18/02/2025
READ MORE
business

KIKAO CHA MSAJILI NA IDARA YA UTAWALA NA FEDHA

<p>Kikao cha Msajili na Idara ya fedha na utawala kimefanyika leo tarehe 15/02/2025 katika ofisi ya ERB Dar es Salaam ikiwa ni mwendelezo wa Msajili kufanya vikao na idara na vitengo.</p>

15/02/2025
READ MORE
business

EXIT MEETING ON ASSET MANAGEMENT VERIFICATION REPORT

<p>EXIT MEETING ON ASSET MANAGEMENT VERIFICATION REPORT&nbsp;</p>

15/02/2025
READ MORE
business

ERB among the, Bronze Sponsors for the 5th e-Government Conference Meeting

<p>ERB among the, Bronze Sponsors for the 5th e-Government Conference Meeting</p>

13/02/2025
READ MORE
business

Ujumbe wa Baraza la Uhandisi la India (ECI) wawasili Ofisi za ERB Dodoma

<p>Ujumbe wa Baraza la Uhandisi la India (ECI), ukiongozwa na Dkt. Priya Ranjan Swarup, Katibu wa ECI umewasili katika Ofisi za Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na kupokelewa na Mwenyeji wake Msajili wa Bodi hiyo Eng. Bernad Kavishe jijini Dodoma</p>

12/02/2025
READ MORE
business

ECI Watembelea Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma

<p>Mwendelezo wa Matukio mbalimbali ya Katibu wa Baraza la Uhandisi la India (ECI) Dkt. Priya Ranjan Swarup akiwa na mwenyeji wake Msajili wa Bodi ya Wahandisi (ERB) Mhandisi, Bernard Kavishe wakati alipotembelea Ofisi mbalimbali za Wizara na Taasisi zilizopo katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.</p>

12/02/2025
READ MORE
business

ERB, ECI WAANZA UTEKELEZAJI WA MAKUBALIANO YA KUONGEZA UFANISI KWA WAHANDISI.

<p>Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB) na Baraza la Uhandisi la India (ECI) wameanza utekelezaji wa makubaliano kati yao ambayo yalisainiwa mwezi Disemba 2024 lengo kuu likiwa ni kuchangia maendeleo ya kiuchumi ya nchi hizo.</p>

11/02/2025
READ MORE
business

Arrival of Engineering Council of India (ECI) Delegation

<p>Arrival of the Engineering Council of India (ECI) Delegation for a five-day working visit to collaborate with ERB.</p>

10/02/2025
READ MORE
business

Msajili wa Bodi ya Wahandisi (ECI) kutoka nchini  India Dkt. Priya Ranjan Swarup, awasili Tanzania

<p>Msajili wa Bodi ya Wahandisi (ECI) kutoka nchini &nbsp;India Dkt. Priya Ranjan Swarup, akiwa pamoja na ujumbe wake wamewasili nchini Tanzania na kupokelewa na wenyeji wao kutoka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kwa ajili ya ziara rasmi leo Februari 10, 2025 Mkoani Dar es Salaam.</p> <p>Dkt. Swarup atafungua rasmi Semina ya 18 ya utangulizi kwa wahandisi 362 waliojiandikisha katika Mpango wa Mafunzo kwa vitendo (SEAP) pamoja kupata fursa ya kuzungumza na wahandisi wahitimu wapya tarehe 11 Februari, 2025 katika Ukumbi wa PSSS Commercial Complex, Sam Nujoma jijini Dar es Salaam.</p> <p>Taasisi ya ECI ni chombo kikuu kinachosimamia taaluma ya uhandisi nchini India, kikiwa na jukumu la kuhakikisha viwango vya juu vya ubora wa kitaaluma ambapo moja ya malengo yake ni kusaidia kutambulika kimataifa kwa wahandisi na kuongeza fursa za maendeleo ya taaluma ya uhandisi katika maeneo mbalimbali duniani, ikiwemo Tanzania.</p>

10/02/2025
READ MORE
business

MSAJILI, ROMBO

<p>Msajili ataenda Rombo kesho jummosi kushiriki mazishi ya aliyekuwa mama mzazi wa waziri wa elimu Mhe. Prof. Adolf Mkenda atarudi Dar es Salaam tarehe 09 &nbsp;siku ya jumalipi.</p>

07/02/2025
READ MORE
business

FEBRUARY TIME TABLE

<p>Ratiba ya msajili mwezi februari</p>

06/02/2025
READ MORE
business

MSAJILI AKUTANA NA WAWAKILISHI KUTOKA UNIVERSITY COMPUTING CENTRE (UCC), DAR ES SALAAM

<p>ERB imefanya mazungumzo na UCC (University Computing Centre), taasisi ya Teknolojia chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kwa mazungumzo muhimu kuhusu kazi zao za kutengeneza mifumo mbalimbali na mafunzo wanayotoa katika maeneo kama <em>AI, Graphics</em>, na zaidi.</p>

06/02/2025
READ MORE
business

KITENGO CHA SHERIA KIKAONI NA MSAJILI

<p>MUENDELEZO WA RATIBA YA MSAJILI. MSAJILI AKIWA KWENYE KIKAO NA KITENGO CHA SHERIA</p>

05/02/2025
READ MORE
business

MSAJILI NA KITENGO CHA HABARI

<p>Msajili akiwa kwenye kikao na kitengo cha Habari&nbsp;</p>

05/02/2025
READ MORE
business

Muendelezo wa Ratiba ya Msajili; PDA na INTERNAL AUDIT Waketi na Msajili

<p>Idara ya PDA na Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani Waketi na Msajili</p>

04/02/2025
READ MORE
business

Bodi ya Wahandisi Yapongezwa kwa Kukuza Elimu na Ushiriki wa Wadau wa Sekta ya Maji

<p>Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, alisisitiza umuhimu wa kuimarisha Chuo cha Maji, si kwa chuo pekee bali pia kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali za wizara. Aliongeza kuwa utoaji wa PDU&#39;s ni muhimu ili kuvutia ushiriki wa watu wengi zaidi. Mhandisi Mwajuma alitoa kauli hiyo alipotembelea banda la Bodi ya Usajili wa Wahandisi wakati wa kufunga Kongamano la Nne la Kimataifa la Sayansi ya Maji, lililofanyika tarehe 20 Januari 2025, katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.</p>

04/02/2025
READ MORE
business

THE 6TH STEERING COMMITTEE MEETING & 3RD SECURITY MEETING HELD ON 31 JAN, 2025 AT ERB DAR ES SALAAM OFFICE

<p>THE 6TH STEERING COMMITTEE MEETING &amp; 3RD SECURITY MEETING HELD ON 31 JAN, 2025 AT ERB DAR ES SALAAM OFFICE</p>

02/02/2025
READ MORE
business

MEETING WITH SERIES FOUNDATION

<p>Had a very good meeting with SERIES FOUNDATION - They have a youth event 21 - 24 May 2025 @ PSSSF Commercial Complex</p>

01/02/2025
READ MORE
business

MSAJILI AKIWA NA MANGULI WA HABARI, MAULID KITENGE NA ZEMBWELA

<p>Earlier today - I had a quality time with Zembwela &nbsp;and Maulid KITENGE - CHUMVI</p>

01/02/2025
READ MORE
business

TUMEKATA KEKI YA ENG. ABRAHAM KAAYA

<p>Hongera kwako Eng. Abraham Kaaya kwa kusherekea siku yako ya kuzaliwa. Keki imeliwa leo Dodoma.&nbsp;</p>

31/01/2025
READ MORE
business

ERB AT 4th INTERNATIONAL MAJI SCIENTIFIC CONFERENCE DAR ES SALAAM

<p><strong>ERB Participates in the 4th International Maji Scientific Conference</strong></p> <p>The Engineers Registration Board (ERB) proudly took part in the 4th International Maji Scientific Conference held in Dar es Salaam. The event brought together leading experts, researchers, and policymakers to discuss innovative solutions for water resource management and sustainability.&nbsp;</p> <p>The conference served as a platform to exchange knowledge, promote innovation, and strengthen partnerships in the field of water science.</p>

29/01/2025
READ MORE
business

Closing Day of Report Writing Workshop for TANESCO Female Engineers at Morogoro SOPE

<p>Closing Day of Report Writing Workshop for TANESCO Female Engineers at Morogoro SOPE</p>

29/01/2025
READ MORE
business

ERB AT 4th INTERNATIONAL MAJI SCIENTIFIC CONFERENCE DAR ES SALAAM

<p><strong>ERB Participates in the 4th International Maji Scientific Conference</strong></p> <p>The Engineers Registration Board (ERB) proudly took part in the 4th International Maji Scientific Conference held in Dar es Salaam. The event brought together leading experts, researchers, and policymakers to discuss innovative solutions for water resource management and sustainability.&nbsp;</p> <p>The conference served as a platform to exchange knowledge, promote innovation, and strengthen partnerships in the field of water science.</p>

29/01/2025
READ MORE
business

ERB Hosts Report Writing Workshop for TANESCO Female Engineers

<p>ERB Hosts Report Writing Workshop for TANESCO Female Engineers</p> <p>The Engineers Registration Board (ERB) has launched a 10-day workshop on report writing for 23 female engineers from the Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO). The workshop, which commenced on January 20, 2025, is being held at the ERB offices in Morogoro and aims to equip participants with essential skills for preparing professional and detailed reports required for their registration process.</p> <p>This initiative follows a collaborative agreement reached during a meeting between ERB and TANESCO in November 2024, emphasizing the need for a continuous 10-day session to enable participants to complete their draft reports concurrently.</p> <p>The workshop was officially opened by Eng. Bernard Kavishe, the Registrar of the Engineers Registration Board, who highlighted the importance of professional development in advancing the engineering sector.</p> <p>This training aligns with ERB&#39;s dedication to empowering Professional Engineers through the School of Professional Engineers (SoPE).</p>

20/01/2025
READ MORE
business

RASIMU YA MPANGO KAZI-MOROGORO

<p>Timu ya rasimu ya mpango kazi imekutana kwa kipindi cha siku mbili katika ofisi za SOPE zilizopo Mkoani Morogoro. Lengo kuu la kikao hiki ni kufanya mapitio na maboresho ya mpango kazi uliopo, huku ikiweka msingi wa kuandaa mpango mkakati mpya wa taasisi. Hatua hii inalenga kuhakikisha kuwa mipango ya taasisi inaendana na mahitaji ya sasa na inalenga kufanikisha malengo ya muda mrefu kwa ufanisi mkubwa zaidi.</p>

15/12/2024
READ MORE
business

KIKAO CHA MAANDALIZI YA SP( MPANGO MKAKATI)

<p>Kikao cha maandalizi ya Mpango Mkakati (SP) kinaendelea kwa kushirikisha wadau mbalimbali kutoka taasisi za serikali. Washiriki hao wanajadiliana kwa kina kuhusu masuala muhimu yanayohusiana na maendeleo ya mpango huo. Kikao hicho pia kimehusisha uwasilishaji wa ripoti mbalimbali zilizotayarishwa na timu husika, zikiainisha hatua zilizofikiwa, changamoto zilizopo, na mapendekezo ya kuboresha utekelezaji wa malengo yaliyowekwa. Washiriki wanatoa maoni na mapendekezo yao ili kuhakikisha mpango huo unakidhi mahitaji ya taasisi na jamii kwa ujumla.</p>

08/12/2024
READ MORE
business

WAHANDISI WATAALAMU 140 WALA KIAPO

<p>Wahandisi Wataalamu 140 wamekula kiapo cha maadili katika hafla ya kongamano na maonesho ya 14 ya Chama cha Wahandisi Tanzania (IET), lililofanyika kuanzia tarehe 04 hadi 06 Disemba 2024 katika ukumbi wa AICC, Arusha. Kiapo hicho kimefanyika leo, tarehe 6 Disemba 2024.</p> <p><br /> Katika hafla hiyo ambayo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa (Mb). Mheshimiwa Majaliwa aliwataka wahandisi waliokula kiapo kuzingatia maadili ya uhandisi katika kazi zao ili kuepuka athari na hatari zinazoweza kujitokeza katika sekta ya ujenzi, akitolea mfano changamoto za kudondoka kwa majengo, jambo ambalo limejitokeza mara kadhaa hivi karibuni.</p> <p><br /> Kwa upande mwingine, Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Lugha Bashungwa, amesisitiza kwamba Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inaendelea kufanya jitihada kubwa kuhakikisha wahandisi wa ndani wanapata fursa zinazolenga kukuza ujuzi na tija, licha ya kwamba kazi nyingi za ukandarasi nchini zinafanywa na kampuni nyingi za nje.<br /> &nbsp;</p> <p>Kiapo hicho ni takwa la Sheria ya Bodi ya Usajili wa Wahandisi, Sura ya 63, inayowataka wahandisi kufuata maadili na weledi katika utekelezaji wa majukumu yao.</p>

06/12/2024
READ MORE
business

NJOMBE YAFIKIWA NA KAMPENI YA SSP

<p>PICHANI: Timu ya SSP Mission ikiwa katika picha za pamoja na MKUU WA MKOA WA NJOMBE, Mhe. ANTONY MTAKA na KATIBU TAWALA WA MKOA HUO Bi. JUDICA OMAR. Timu hiyo imefika katika ofisi ya mkuu wa mkoa kwaajili ya kutoa mrejesho kwa uongozi wa mkoa baada ya kutembelea shule zipatazo tano (5) ambazo zinatarajiwa kuingia kwenye mpango wa SSP kwa mkoa wa Njombe.</p>

02/12/2024
READ MORE
business

NAIBU WAZIRI WA UJENZI MHE. MHANDISI KASEKENYA AIPONGEZA ERB KWA KUANZISHA SoPE

<p>Wizara ya Ujenzi, kupitia Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), inatarajia kuanzisha Shule ya Wahandisi Wataalamu (SoPE) ili kuboresha ufanisi na umahiri wa wahandisi na wakandarasi nchini. Akizungumzia mpango huu wakati wa kufunga Maonyesho ya MAT Builders Expo, ambayo yalidumu kwa siku kumi katika viwanja vya Mashujaa, Dodoma, Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, alisema:</p> <p>&quot;Kuanzishwa kwa shule hii ni hatua muhimu ya kuongeza ujuzi na taaluma ya wahandisi wetu, hasa katika zama hizi za mabadiliko makubwa ya teknolojia. Wahandisi wanapaswa kujipanga na kuwa na weledi wa hali ya juu ili kuhakikisha miradi ya ujenzi inaleta matokeo bora.&quot;</p> <p>Mhandisi Kasekenya pia alieleza kufurahishwa kwake na mpango huu wakati alipotembelea taasisi mbalimbali za serikali zilizoshiriki maonyesho hayo. Alisisitiza kuwa SoPE itakuwa chachu ya kuwajengea uwezo wahandisi wa kukabiliana na changamoto za teknolojia za kisasa na hivyo kuchangia maendeleo endelevu ya sekta ya ujenzi nchini.</p> <p>Aidha, alitumia fursa hiyo kuipongeza Bodi ya Usajili wa Wahandisi kwa juhudi zao za kuimarisha sekta ya ujenzi kupitia mpango huu wa shule ya wataalamu na kwa kushirikiana na taasisi nyingine zinazochangia ukuaji wa teknolojia na ubunifu. Maonyesho haya yaliweka msingi wa ushirikiano na kubainisha njia bora za kukuza ufanisi katika sekta ya ujenzi na uwekezaji wa kisasa nchini.</p>

30/11/2024
READ MORE
business

MAT EXPO BUILDERS EXHIBITION IN DODOMA

<p>Bado tupo kwenye maonyesho viwanja vya Mashujaa, Dodoma, hadi tarehe 30 novemba. karibuni sana&nbsp;</p>

28/11/2024
READ MORE
business

A DAY ONE; SEAP INDUCTION SEMINAR

<p>A day one of the Structured Engineers Apprenticeship Programme (SEAP) Induction Seminar, organized by the erb_tz took place today, November 19, 2024, at the PSSSF Commercial Complex in Dar es Salaam.&nbsp;</p> <p>The seminar, which is scheduled to be held from 19th to 20th November 20, aims to equip 513 graduate engineers who have recently joined the SEAP.&nbsp;</p> <p>The program is designed over 21 years to help graduate engineers gain the professional experience required for qualifying as Professional Engineers, in line with the Engineers Registration Act. This structured training enables them to meet the necessary criteria for registration within the minimum time specified by the Act.</p> <p>The Induction Seminar is designed to equip trainees with the skills, knowledge, and attitudes they need as they embark on their engineering careers. A day one covered essential topics such as an overview of the SEAP, the professional registration process, an introduction to the ERB&#39;s Management Information System, and discussions on combating corruption within engineering practice.&nbsp;</p> <p>ERB Board Chairman Eng. Menye Manga, Adv., officiated the seminar and emphasized the importance of acquiring new skills to adapt to the fast-evolving technological landscape in engineering. Eng. Manga urged the participants to focus on continuous learning and innovation, which are key to advancing both their careers and the engineering profession as a whole.&nbsp;</p> <p>&ldquo;Technology is transforming the engineering field, and it is essential to stay ahead of these changes,&rdquo; he said. The SEAP Induction Seminar is designed to provide the graduate engineers with the skills and knowledge needed to thrive in their careers and contribute to the growth of Tanzania&rsquo;s engineering sector.</p>

19/11/2024
READ MORE
business

Watumsihi ERB Wakumbushwa Maadili, Ufanisi Kazini na Uzalendo

<p>Watumsihi ERB Wakumbushwa Maadili, Ufanisi Kazini na Uzalendo</p> <p>Kikao cha Wafanyakazi wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kimefanyika tarehe 15 Novemba, 2024 katika ukumbi wa St. Gasper jijini Dodoma.&nbsp;</p> <p>Kikao hiki ni sehemu ya utaratibu wa Bodi wa kufanya vikao vya mara kwa mara ili kuwakumbusha wafanyakazi na kuwajengea uelewa kuhusu masuala mbalimbali ya kiutumishi.&nbsp;</p> <p>Katika kikao hicho, Msajili na Mtendaji Mkuu wa ERB, Mhandisi Bernard Kavishe, amewataka watumishi kuzingatia maadili na nidhamu katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.&nbsp;</p> <p>Aidha Mhandisi Kavishe amewataka watumishi kujiendeleza kimasomo na kuongeza weledi ili kufikia malengo ya taasisi kwa ufanisi zaidi. Kwa upande mwingine watumishi wametakiwa kuwa wazalendo ili kuwa na fikra za kujenga kwa lengo la kuisaidia taasisi kufikia mafanikio.</p> <p>Watumsihi ERB Wakumbushwa Maadili, Ufanisi Kazini na Uzalendo</p> <p>Kikao cha Wafanyakazi wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kimefanyika tarehe 15 Novemba, 2024 katika ukumbi wa St. Gasper jijini Dodoma.&nbsp;</p> <p>Kikao hiki ni sehemu ya utaratibu wa Bodi wa kufanya vikao vya mara kwa mara ili kuwakumbusha wafanyakazi na kuwajengea uelewa kuhusu masuala mbalimbali ya kiutumishi.&nbsp;</p> <p>Katika kikao hicho, Msajili na Mtendaji Mkuu wa ERB, Mhandisi Bernard Kavishe, amewataka watumishi kuzingatia maadili na nidhamu katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.&nbsp;</p> <p>Aidha Mhandisi Kavishe amewataka watumishi kujiendeleza kimasomo na kuongeza weledi ili kufikia malengo ya taasisi kwa ufanisi zaidi. Kwa upande mwingine watumishi wametakiwa kuwa wazalendo ili kuwa na fikra za kujenga kwa lengo la kuisaidia taasisi kufikia mafanikio.</p> <p>Kwa upande mwingine, watumishi wamepata fursa ya kujifunza kuhusu namna ya kuvaa kwa staha katika maeneo ya kazi, na jinsi ya kutambua na kukabili matatizo ya afya ya akili maeneo ya kazi.</p> <p>Watumishi wameshukuru uongozi wa Bodi kwa kuendelea kuandaa vikao vya aina hii, kwani vimekuwa na mchango mkubwa katika kujenga umoja na mshikamano katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku na kuboresha utendaji kazi na kujenga timu imara ndani ya ERB.</p>

16/11/2024
READ MORE
business

Tanzanian Engineer Imani Martin Wins AfrInnovate Youth Challenge with Smart Eggs Incubator! 🏆🇹🇿

<p>Imani Martin, a recent mechanical engineering graduate from NIT and his incredible team have won the prestigious AfrInnovate Youth Challenge (AYC)! 🏆</p> <p>✨ This competition was powered by E3Empower Africa, Junior Achievement Africa, and the Zzurich Foundation. Through a program organized by ERB, in partnership with E3Empower Africa and SERIS Foundation, Imani showcased his innovative idea&mdash;the Smart Eggs Incubator&mdash;which emerged as the overall</p> <p>winner! 🚀🐣 The competition in Arusha brought together 10 top teams from an initial 490 entries. Each team took home $500, with the third-place winners earning $1,000, second place $2,000, and Imani&rsquo;s team claiming the grand prize of $3,000! In additional 💵💪 Now, Eng. Imani is gearing up to represent</p> <p>Tanzania at the regional finals in January, competing with the best from South Africa, Uganda, DRC, C&ocirc;te d&#39;Ivoire, Togo, and Burkina Faso. 🌍🔥 Let&rsquo;s wish him all the best as he takes Tanzania to the next level! 🇹🇿👏</p>

11/11/2024
READ MORE
business

KAMATI YA PAC YAIPONGEZA ERB KWA UTENDAJI

<p>Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeipongeza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kwa utendaji bora. Hayo yamebainishwa na wajumbe wa kamati hiyo wakati Bodi ilipowasilisha taarifa ya utendaji wake kwa mwaka wa fedha 2023/2024 katika Ofisi za Bunge leo, tarehe 9 Novemba 2024.<br /> Msajili na Mtendaji Mkuu wa ERB, Mhandisi Bernard Kavishe amewasilisha taarifa hiyo mbele ya kamati, ambayo imejumuisha sehemu kuu nne ikiwemo majukumu ya Bodi, mafanikio yaliyopatikana, Programu za Uendelezaji wa Wahandisi, na malengo ya baadaye ya Bodi.<br /> Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mheshimiwa Japhet Asenga (Mb), amesema kwamba ERB imekuwa mfano mzuri wa kuigwa na Bodi nyingine. Aliongeza kuwa taarifa ya utendaji wa Bodi imeonesha wazi mafanikio yake na mikakati yake ya baadaye. &ldquo;Natamani taasisi nyingine zinazofanya majukumu ya Bodi kuiga mfano wa ERB. Taarifa hii ni nzuri na imeainisha mambo muhimu katika utendaji wake,&rdquo; alisisitiza Asenga.<br /> Uwasilishaji wa taarifa</p>

09/11/2024
READ MORE
business

MATENGENEZO YA MAGETI MAPYA, OFISI YA DODOMA

<p>MATENGENEZO YA GETI JIPYA, OFISI YA DODOMA YANAENDELEA&nbsp; YAKIAMBATANA NA MATENGENEZO MENGINE&nbsp;</p>

07/11/2024
READ MORE
business

RUSSIAN EDUCATION EXPO, 2024

<p>Join us at the Russian Education Expo on October 30, 2024, in Dar es Salaam! 🎓 Discover amazing study opportunities in Russia with ERB. Don&#39;t miss the chance to explore diverse programs, meet experts, and shape your future!</p>

29/10/2024
READ MORE
business

Ukaguzi wa Nje Kuanza Leo, 28/10/2024( EXTERNAL AUDITORS)

<p>Zoezi la ukaguzi linaanza rasmi leo tarehe 28 Oktoba 2024, kwa lengo la kuboresha ufanisi na uwajibikaji katika taasisi. Zoezi hili linafanyika ofisi ya Dodoma.</p>

28/10/2024
READ MORE
business

Registrar Returns from Brussels, Belgium Trip

<p>The Registrar has returned from Brussels, Belgium, where he was engaged in MRA- EAC Chairman duties.</p>

26/10/2024
READ MORE
business

REGISTRAR AT BRUSSELS

<p>Kazi inaendelea #Brussels</p>

25/10/2024
READ MORE
business

Building Future Leaders in STEM! 💪🎓

<p>The ERB, IET-Women Chapter, E3mpower Africa, and the Association of Women Doctors Tanzania (MEWATA) joined forces to inspire young girls and boys to pursue science studies with enthusiasm! Alongside this, we provided essential reproductive health education, laying the foundation for a healthier and brighter future for youth in secondary schools across Tanzania.</p> <p>Together, we&rsquo;re building pathways to success and well-being for the next generation. 🌱✨</p> <p>#STEMEducation #HealthyLiving #YouthEmpowerment #BuildingTheFuture</p>

25/10/2024
READ MORE
business

Empowering Girls in STEM! 💡👩🔬

<p>The ERB, IET-Women Chapter, and the Association of Women Doctors Tanzania (MEWATA) recently visited a school in Kaliua District, Tabora Region, to inspire young girls to embrace science and technology. Alongside this, we provided vital reproductive health education, equipping them with the tools for a brighter and healthier future.</p> <p>Together, we&#39;re paving the way for stronger, empowered young women in secondary schools across Tanzania. 💪🏾💡</p>

24/10/2024
READ MORE
business

Stakeholders Workshop for Youth Acceleration Programme Held in Morogoro

<p>Morogoro, October 22, 2024, the Engineers Registration Board (ERB) held a stakeholders workshop for the Youth Engineers Acceleration Programme (YEAP) at ERB offices in Morogoro. The event engaged several participants to review and discuss the proposed document for the programme.</p> <p>During the workshop, Dr. Tobias Swai, a University of Dar es Salaam member of academic staff presented the YEAP proposal, outlining its objectives and anticipated outcomes. ERB is spearheading the development of the YEAP on behalf of the Ministry of Works (MoW). This initiative aims to empower young professionals by fostering entrepreneurship and innovation, enabling them to establish productive and sustainable business ventures.</p> <p>The YEAP will provide youth entrepreneurs in engineering with essential soft skills, mentorship, and preferential opportunities to engage in implementation of actual projects with major contracting authorities such as TANROADS, RUWASA, TARURA, and TANESCO. The programme will be offered physically and online, and will consist on 10 learning modules which will lead to a development of a business plan which will be preceded by 26 weeks of practical actual work implementation.</p> <p>YEAP is estimated to take 100 youths and create business ventures which will employ directly about 3000 people for the two years of implementation. Monitoring and Evaluated will be undertaken internally and independently to ensure the success of the project.</p> <p>The ERB looks forward for a collaborative efforts from all stakeholders in empowering the next generation of engineering professionals and fostering a culture of innovation and entrepreneurship in the Tanzania.</p>

23/10/2024
READ MORE
business

ERB PARTICIPATING IN GLOBAL ENGINEERING CONFERENCE (GECO) WORLD FEDERATION OF ENGINEERING ORGANIZATIONS (WFEO) EXECUTIVE COMMITTEE MEETINGS FROM 15TH-18TH OCTOBER, 2024

<p>The Engineers Registration Board (ERB) is participating in the Global Engineering Conference (GECO) hosted by the World Federation of Engineering Organizations (WFEO) from October 15 to 18, 2024. Representing the board, ERB Chairman Eng. Menye Manga (Adv.) is engaging with international engineering leaders to discuss key issues affecting the global engineering community. The conference aims to foster collaboration and innovation, focusing on sustainable engineering practices and the role of engineers in addressing global challenges. Eng. Manga&#39;s participation underscores ERB&#39;s commitment to enhancing engineering standards and promoting professional development on a worldwide scale.</p>

17/10/2024
READ MORE
business

Tupo Live katika Maonesho ya 7 ya Madini, Geita

<p>Tupo Live katika Maonesho ya 7 ya Madini, Geita</p>

05/10/2024
READ MORE
business

Tupo Geita Viwanja vya EPZ Grounds

<p>Tunashiriki kwenye maonesho ya 7 ya Madini, Mkoani Geita.</p>

04/10/2024
READ MORE
business

ERB MAGAZINE PREPARATION

<p>Maandalizi ya ERB Magazine yanaendelea&nbsp;</p>

04/10/2024
READ MORE
business

PRESS RELEASE: Agreement between Competent Authorities of Engineering Professions in the East African Community (EAC-MRA), Chaired by Eng. Bernard Kavishe, ERB Registrar

<p>Agreement between Competent Authorities of Engineering Professions in the East African Community (EAC-MRA), Chaired by Eng. Bernard Kavishe, ERB Registrar</p>

04/10/2024
READ MORE
business

MAONYESHO YA 7 YA Madini MKOANI GEITA

<p>ERB itashiriki maonyesho ya 7 ya madini Mkoani geita&nbsp;</p>

03/10/2024
READ MORE
business

Semina ya Mafunzo kwa Watumishi Wapya ERB

<p>Watumishi wapya wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) wameanza kupatiwa mafunzo yanayolenga kuwakaribisha rasmi katika utumishi wa umma, ambapo wamekumbushwa kuhusu masuala muhimu kama maadili, nidhamu, na uwajibikaji kazini. Msajili wa Bodi, Eng. Bernard Kavishe, ametoa wito kwa watumishi hao kuzingatia viwango vya juu vya maadili na kujitolea katika majukumu yao. Semina hii ya mafunzo inafanyika kwa siku tatu, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Oktoba 2024, na inalenga kuwajengea msingi imara watumishi wapya ili waweze kutimiza malengo ya Bodi kwa ufanisi.</p>

03/10/2024
READ MORE
business

GIRLS IN SCIENCE; STEM PROMOTION

<p>WE ARE PLANTING A SEED FOR FUTURE ENGINEERS. KILIMANJARO GIRLS SECONDARY SCHOOL.</p>

24/09/2024
READ MORE
business

STEM PROMOTION, KILIMANJARO GIRLS SEC SCHOOL, SIHA KILIMANJARO

<p>Empowering the next generation: Today, ERB visited Kilimanjaro Girls Secondary School to witness the impactful investment in STEM education for girls. Together, we&rsquo;re fostering a brighter future through science and innovation.</p>

24/09/2024
READ MORE
business

STEM AT OLD MOSHI GIRLS SEC SCHOOL

<p>In recognition of their dedication, Eng. Bernard Kavishe awarded top-performing students in Science, applauding their outstanding achievements. He also acknowledged the vital role of teachers in guiding and supporting students to excel in STEM. This initiative empowers young women, breaks down barriers in STEM, and nurtures future female leaders in science and engineering.</p>

23/09/2024
READ MORE
business

PLANTING A SEED FOR FUTURE ENGINEERING(STEM PROMOTION)

<p>Early today, September 23, 2024, ERB Registrar Eng. Bernard Kavishe visited Old Moshi Girls School as part of the STEM Promotion Mission, aimed specifically at encouraging girls to pursue studies in Science and Mathematics. During his visit, Eng. Kavishe engaged with students through inspiring discussions and hands-on activities, highlighting the importance of these subjects in today&rsquo;s technological landscape. His initiative seeks to empower young women and break down barriers in STEM fields, fostering a new generation of female leaders in science and engineering.</p>

23/09/2024
READ MORE
business

STEM AT KILASARI SEC SCHOOL, MOSHI

<p>&quot;ERB imeanzisha programu maalum ijulikanayo kama STEM Support Program (SSP) ikilenga kuunga mkono jitihada za Serikali ya awamu ya sita Chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuboresha sekta ya elimu kwa kuongeza idadi ya walimu wa sayansi,Maabara pamoja na Maktaba</p> <p>Mhandisi Kavishe ameyasema hayo leo tarehe 21 Septemba, 2024 wakati wa mahafali ya kidato cha nne ya shule ya Sekondari Kilasara iliyopo Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro.</p>

21/09/2024
READ MORE
business

SOPE kuanzishwa Kukuza Ubora wa Uhandisi Tanzania

<p><strong>SOPE kuanzishwa Kukuza Ubora wa Uhandisi Tanzania</strong></p> <p><em>Morogoro, Septemba 2024</em> &ndash; Shule ya Uhandisi wa Kitaaluma (SOPE), taasisi mpya chini ya Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), imeanzishwa kwa lengo la kuwaandaa wahandisi kwa ujuzi wa vitendo na kitaaluma, bila kutoa vyeti vya kitaaluma moja kwa moja. SOPE itatoa mafunzo maalum, ikijumuisha kozi za usimamizi wa miradi kwa kushirikiana na taasisi zinazotambulika kama PMI na FIDIC.</p> <p>SOPE pia itatumika kama kituo cha maendeleo ya kukuza maarifa mapya katika maeneo kama miundombinu rafiki kwa mazingira, usalama barabarani, na taaluma nyingine zinazoibuka ambazo ni muhimu kwa miradi mikubwa kama ile inayoungwa mkono na Benki ya Dunia. Kupitia kozi fupi na mipango ya utafiti na maendeleo, SOPE inalenga kuboresha ujuzi laini na utambuzi wa kitaaluma kwa wahandisi kote Tanzania.</p> <p>Pamoja na jukumu lake la kitaaluma, SOPE itafanya kazi kama Ofisi ya Kanda ya ERB Mkoani Morogoro, kusaidia shughuli za ufuatiliaji, utoaji wa leseni, na kutoa maendeleo endelevu kwa wataalamu wa kanda hiyo. Kwa kutumia miundombinu yake madhubuti, SOPE inaelekea kuwa kitovu kikuu cha ubora wa uhandisi na uvumbuzi.</p> <p>Aidha, <strong>STEM SUPPORTING PROJECT (SSP</strong><strong>)</strong>, unalenga kuongeza ushiriki wa wanawake katika tasnia ya uhandisi kupitia kampeni za kimkakati, ikiwa ni pamoja na marathoni na programu za elimu katika shule. Bodi ya SSP, inayoongozwa na Msajili wa ERB, itahakikisha utekelezaji mzuri wa mipango hii. Kuna mipango ya kutenganisha SOPE na SSP kuwa vyombo tofauti ili kuongeza ufanisi wa kila moja.</p> <p>SOPE, imewekwa kwenye nafasi ya si tu kuimarisha mamlaka ya ERB bali pia kuunda mustakabali wa uhandisi nchini Tanzania.</p>

18/09/2024
READ MORE
business

HAPPY MAULID DAY

<p>ERB WISHING ALL STAFFS A BLESSED AND PEACEFUL&nbsp; MAULID</p>

16/09/2024
READ MORE
business

ERB MEETING WITH WORLD BANK

<p>Yesterday, Meeting with the WORLD BANK, we presented our projects and initiatives, they will supoort SoPE and SEAP. A World Bank course/standard on GREEN INFRASTRUCTURE will be handed over to SoPE.</p> <p><strong>Kazi Inaendelea</strong></p>

12/09/2024
READ MORE
business

ERB MARATHON RUN FOR STEM

<p>Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof Adolf Mkenda, ameshiriki mbio za&nbsp;ERB RUN FOR STEM akiwa ni mgeni rasmi wa mbio hizo ambazo zimeanzia viwanja vya UDASA, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. mbio hizo zinalenga kuchangia fedha kwa lengo la kusaidia ufundishaji wa masomo ya sayansi katika shule za sekondari nchini.</p>

08/09/2024
READ MORE
business

ERB MARATHON FOR STEM SASA KUFANYIKA TAREHE 8, SEPTEMBA

<p><strong>ERB MARATHON RUN FOR STEM KUFANYIKA SEPT 8.</strong><br /> Akizungumza na waandishi wa habari msajili wa bodi ya usajili wa wahandisi,Eng.Benard Kavishe amesema Mbio hizo zilikuwa zifanyike Jumamosi hii sasa zitafanyika Jumapili hii septemba 8.<br /> Mhandisi Kavishe amesema malengo ya mbio hizo ni kuunga mkono mradi wa SSP (Stem Support Project) ambao umelenga Kuunga mkono juhudi za serikali ya kuboresha sekta ya Elimu.<br /> Amesema serikali ya awamu ya sita chini ya rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imeboresha sekta ya elimu kwa kiasi kikubwa hali iliosababisha kuwepo na uhitaji wa kuongeza walimu hususani wa masomo ya Sayansi.<br /> Kupitia mradi huo ERB tayari imeshaajiri walimu 20 wa masomo ya sayansi ambapo lengo la mbio hizo ni kuongeza fedha kwaajili ya kuajiri walimu wengine.<br /> Mbio hizo zitahusisha kilometa 5,10 na kilometa 21 ambazo zitaanzia na kuhitimishwa katika viwanja wa UDASA CLUB katika chuo kikuu cha Dar es Salaam.</p>

07/09/2024
READ MORE
business

ANNUAL ENGINEERS DAY, 2024

<p>WAHANDISI WATAKIWA KUENDANA NA KASI YA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA</p> <p>Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa rai kwa Wahandisi nchini kuendana na kasi ya mabadiliko ya Teknolojia mbalimbali ikiwemo ya Akili Mnemba kutoa suluhu ya changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii.<br /> <br /> Bashungwa ameeleza hayo leo Septemba 05, 2024 wakati akifungua Maadhimisho ya 21 ya Siku ya Wahandisi iliyobeba kauli mbiu &ldquo;Kuandaa Nguvukazi ya Uhandisi katika zama za Akili Mnemba - Mafunzo na Kuimarisha Ujuzi wa Watalaam wa Kada ya Uhandisi&rdquo;.<br /> <br /> &ldquo;Tumieni fursa hii kutafakari changamoto mbalimbali za shughuli za kihandisi zenye mahusiano ya moja kwa moja na maendeleo ya nchi yetu, badilishaneni mawazo na kuona ni teknolojia ipi itasaidia kutatua changamoto&rdquo;, amesema Bashungwa.</p>

05/09/2024
READ MORE
business

WAHANDISI CHANGAMKIENI FURSA ZA UJASIRIAMALI

<p>Wahandisi Vijana nchini wameshauriwa kutumia fursa mbalimbali kupitia ujuzi na ubunifu waliokuwa nao ili kuwa wajasiriamali na kuleta mabadiliko chanya kwao na Taifa kwa ujumla.</p> <p>Ushauri huo umetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhandisi, Zena Said leo, Septemba 4, 2024 wakati akifunga Jukwaa la Wahandisi Vijana jijini Dar es Salaam lililobebwa na kauli mbiu isemayo &ldquo;Ujasiriamali na Uhandisi, kuongeza Kasi kwa Wahandisi Vijana kufikia Ubora&rdquo; ambalo limeratibiwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)</p>

04/09/2024
READ MORE
business

ERB YOUTH ENGINEERING FORUM

<p>SERIKALI YAWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAHANDISI WAZAWA</p> <p>Serikali imesema kuwa imeandaa mkakati maalum wa kutoa fursa za ajira na kutengeneza mazingira wezeshi kwa wahandisi wazawa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini ili kuwainua kichumi na kuleta maendeleo nchini.</p> <p>Ameyasema hayo, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mheshimiwa Patrobas Katambi leo, Septemba 3, 2024 wakati akifungua Jukwaa la Wahandisi Vijana jijini Dar es Salaam lililobebwa na kauli mbiu isemayo &ldquo;Kuwainua Vijana katika safari yao ya Taaluma na Biashara&rdquo; ambalo limeratibiwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB).</p>

03/09/2024
READ MORE
business

MAANDALIZI KUELEKEA ERB MARATHON

<p>&nbsp;wafanyakazi wa ERB wakiwa mazoezini katika viwanja vya UDASA, Dar es salaam kuelekea ERB MARATHON RUN FOR STEM, ambapo kilele chake inatajariwa kufanyika tarehe 7 september 2024</p>

31/08/2024
READ MORE
business

#ERB- SEPTEMBER TO REMEMBER

<p><strong>Engineers Registration Board (ERB) to Host Three Major Events in September</strong></p> <p>The Engineers Registration Board (ERB) is set to hold three major events in the first week of September 2024, aimed at promoting and advancing Science, Technology, Engineering, and Mathematics (STEM) education in the country, providing training, and enabling young engineers to achieve their goals.</p>

26/08/2024
READ MORE
business

ERB, IMESHIRIKI MBIO ZA CRDB MARATHON

<p>ERB imeshiriki mbio za CRDB Marathon kama sehemu ya maandalizi kuelekea mbio za ERB Marathon Run for STEM. Mbio hizi zina lengo la kuchangisha fedha ambazo zitatumika kulipa posho kwa walimu wanaojitolea kufundisha masomo ya sayansi katika shule za sekondari. Kupitia ushiriki huu, ERB inaonyesha dhamira yake ya kuunga mkono elimu ya sayansi na teknolojia, ikilenga kuimarisha msingi wa taaluma hizo kwa wanafunzi wa sekondari nchini.</p>

18/08/2024
READ MORE
business

ERB MARATHON FOR STEM, SEPTEMBA

<p>ERB imeshiriki mbio za riadha za CRDB Marathon leo tarehe 18 Agosti, 2024 ikiwa ni sehemu ya kupasha misuli kuelekea ERB MARATHON FOR STEM tarehe 07 september, 2024</p>

18/08/2024
READ MORE
business

ERB, CONTINUES TO PROVIDE SERVICES, NANENANE MBEYA

<p>&quot;ERB had the privilege of participating in exhibitions in the Highlands of Southern Mbeya, where we received a fantastic response from engineers! We also had the opportunity to visit ongoing construction projects in the region, gaining insights and fostering valuable connections for the future of engineering in Tanzania.</p>

06/08/2024
READ MORE
business

KLINIKI YA DIASPORA COMORO

<p>ERB IMESHIRIKI KLINIKI YA DIASPORA, COMORO</p>

06/08/2024
READ MORE
business

UKAGUZI WA MIRADI NYANDA ZA JUU KUSINI MBEYA.

<p>ERB inaendelea na ziara yake mkoani Mbeya, kwa kukagua miradi na kuhakikisha wahandisi wamesajiliwa</p>

06/08/2024
READ MORE
business

ERB, NYANDA ZA JUU KUSINI, MBEYA

<p>ERB has started project inspections in the Southern Highlands, Mbeya! We&#39;re visiting TANROAD, TARURA, TBA, and TEMESA to meet with engineers and ensure professional standards are upheld.&nbsp; #EngineeringExcellence&nbsp;&nbsp;</p>

30/07/2024
READ MORE
business

ERB's new STEM Support Programme

<p>ERB&#39;s STEM Support Programme is addressing critical challenges in STEM education by supporting volunteer teachers and equipping labs. Together, we&#39;re building a brighter future for engineering in Tanzania. #STEMSupport #EducationMatters #EngineeringFutureERB&#39;s STEM Support Programme is&nbsp;</p>

15/07/2024
READ MORE
business

Exciting news from Zanzibar and mainland Tanzania!

<p>🌍 Exciting news from Zanzibar and mainland Tanzania! The Registration Board of Architects and Building Appraisers and the Engineers Registration Board are collaborating to drive the SEAP project forward. Key executives are set for specialized training in Dodoma to ensure effective management and oversight. <strong>#SEAPProject #EngineeringExcellence</strong><strong>#CapacityBuilding</strong></p>

03/07/2024
READ MORE
business

Progress on Database for Tanzanian Engineers Abroad!

<p>The Engineers Registration Board (ERB) is making great strides in creating a comprehensive database for Tanzanian engineers living overseas. This initiative, led by the Permanent Parliamentary Infrastructure Committee, aims to harness their expertise for national development.</p> <p>With collaborations from institutions like the University of Dar es Salaam and the Ministry of Foreign Affairs, the project seeks to identify, engage, and document the skills of our diaspora engineers. This database will play a crucial role in involving them in national projects and boosting economic growth.</p> <p>Stay tuned for more updates as we continue to refine and implement this important project! 🇹🇿✨ #Tanzania #Engineering #Diaspora #NationalDevelopment #ERB #EconomicGrowth</p>

29/06/2024
READ MORE
business

ERB, RUSSIAN TO COME WITH A STRATEGY TO DEVELOP AND ELEVATE THE ENGINEERING PROFESSION.

<p>In order to advance the engineering field for engineers in the nation, erb has held discussions with delegates from the Russian embassy.<br /> The purpose of this discussion is to facilitate knowledge and experience sharing between Tanzanian and Russian engineers.<br /> The conversation also aimed to establish positive ties with the Russian Board of Engineers, which will facilitate the opening of doors for Tanzanian engineers to visit Russia in order to further their education and develop their engineering expertise.</p> <p>&nbsp;</p>

27/06/2024
READ MORE
business

MSAJILI, IKULU

<p>Leo msajili atahudhuria Hafla ya Gawio na Michango kutoka Mashirika na Taasisi za Umma, itakayofanyika Ikulu, Dar es Salaam.</p>

11/06/2024
READ MORE
business

CERTIFICATE OF APPRECIATION

<p>Kupitia kikao cha wafanyakazi kilichofanyika jana, Msajili aliwapatia wafanyakazi vyeti vya shukrani kwa ushiriki wao mzuri kwenye maadhimisho ya siku ya Mafundi Sanifu iliyofanyika tarehe 23-24/05/2024, Jijini Dodoma kwenye ukumbi wa Mabeyo Hall.</p>

06/06/2024
READ MORE
business

KIKAO CHA WAFANYAKAZI LEO TAREHE 05, JUNE 2024.

<p>Masajili wa Bodi ya Wahandisi (ERB) Eng. Bernard Kavishe akiongea wakati wa kikao caha wafanyakazi kilichofanyika leo tarehe 05 June, 2024 katika ofisi za Makao, Dodoma ambapo alisisitiza wafanyakazi kufanya kazi kwa weledi na ufanisi. Na pia kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili wanyakazi.</p> <p>Bodi imejiwekea utaratibu wa kuwa na vikao vya wafanyakazi ili kushirikishana masuala mbalimbali ya kiutumishi na utekelezaji wa majukumu ya kilasiku.</p>

05/06/2024
READ MORE
business

TAARIFA KUTOKA MAMLAKA YA UDHIBITI NA UNUNUZI WA UMMA

<p><strong>MABADILIKO YA CHEO CHA MKUU WA TAASISI NA KUHAMA KWA OFISI ZA MAKAO MAKUU (PPRA)</strong></p>

03/06/2024
READ MORE
business

MEI MOSI DAY

<p>Kauli mbiu ya Mei Mosi mwaka huu,<strong> &quot;Nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao bora na kinga dhidi ya hali ngumu ya maisha&quot; </strong>kitaifa imefanyika Mkoani Arusha uwanja wa Sheikh Amri Abeid na mgeni rasmi akiwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango akimuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.&nbsp;</p>

01/05/2024
READ MORE
business

HAPPY MUUNGANO DAY

<p>Tunaungana na watanzania wote kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar</p>

26/04/2024
READ MORE
business

Today's Adv. Alice Sendoff-17th April, 2024

<p>As you start this new chapter in your lives together, may your love and commitment to each other only deepen and strengthen. Congratulations!</p>

17/04/2024
READ MORE
business

MSAJILI NA SEHEMU YA WATUMISHI WAMESHIRIKI KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI, WIZARA YA UJENZI

<p>Msajili ameongozana na baadhi ya watumishi, kushiriki kikao cha baraza la wafanyakazi, Wizara ya Ujenzi mkoani Dodoma</p>

15/04/2024
READ MORE
business

Kila la Heri CPA. Emelia

<p>Watumishi wa ERB ofisi ya Dar wamemuaga rasmi CPA. Emelia siku ya Alhamisi tarehe 28 Machi, 2024 na kumtakia kila la heri katika majukumu yake mapya. Kukata keki ilikuwa ni ishara ya upendo na furaha!</p>

28/03/2024
READ MORE
business

Ramadhan Kareem

<p>We wish all muslim Ramadhan Kareem</p>

11/03/2024
READ MORE
business

KONGAMANO LA SIKU YA WANAWAKE JUMAMOSI TAREHE 9 MACHI, 2024

<p>SIKU YA WANAWAKE DUNIANI</p>

09/03/2024
READ MORE
business

HAPPY WOMEN'S DAY

<p>We celebrate women&#39;s day.&nbsp;</p>

08/03/2024
READ MORE
business

TANZIA

KIFO CHA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. ALI HASSAN MWINYI

01/03/2024
READ MORE
business

Exhibitors booking for AED - 2023

ANNUAL ENGINEERS DAY 2023; 14TH TO 15TH SEPTEMBER 2023

09/08/2023
READ MORE
business

The Engineers Registration Board (ERB) is a

The Engineers Registration Board (ERB) is a statutory body established by an Act of Parliament (Engineers Registration Act No. 15 of 1997). The Board has been given the responsibility and mandate for regulating engineering activities and conduct of engineers and engineering consulting firms in Tanzania. As stipulated under sections 4(e) and 4(f) of the Act, among the main functions of the Board is to monitor the conduct and activities of engineers, including consulting engineers or engineering consulting firms and to promote and maintain professional conduct and integrity of the engineering profession. In order for the Board to achieve its strategic objectives under these functions the Board has employed Monitoring activities.

13/04/2023
READ MORE
business

The Engineers Registration Board (ERB) is a statutory body established by an Act of Parliament (Engineers Registration Act No. 15 of 1997).

The Engineers Registration Board (ERB) is a statutory body established by an Act of Parliament (Engineers Registration Act No. 15 of 1997). The Board has been given the responsibility and mandate for regulating engineering activities and conduct of engineers and engineering consulting firms in Tanzania. As stipulated under sections 4(e) and 4(f) of the Act, among the main functions of the Board is to monitor the conduct and activities of engineers, including consulting engineers or engineering consulting firms and to promote and maintain professional conduct and integrity of the engineering profession. In order for the Board to achieve its strategic objectives under these functions the Board has employed Monitoring activities.

13/04/2023
READ MORE