HAPPY NEW YEAR 2026
ERB INAWATAKIA WAFANYAKAZI WOTE KHERI YA MWAKA MPYA 2026
READ MORE
Mazoezi ya viungo yanayoendelea kila week katika ofisi za Dodoma, Dae es Salaam na Morogoro
READ MORE
KHERI YA SIKU YA KUZALIWA ADV AGRICOLA tunakutakia mafanikio mwema
READ MORE
SIKU YA UKIMWI DUNIANI AMBAPO HUADHIMISHWA TAREHE 1 DISEMBA YA KILA MWAKA
READ MORE
ERB kushiriki sirikisho la Michezo SHIMMUTA (shirikisho la michezo la mashirika ya umma, taasisi na Makampuni Binafsi ambapo yalifanyika kuanzia tarehe 21 hadi 06 Disemba na yalifanyika mkoani Morogoro
READ MORE
EXIT AUTING MEETING HELD TODAY 27TH OCTOBER 2025 AT MHANDISI ANNEX DODOMA
READ MORE
UTARATIBU WA MAZOEZI KWA WATUMISHI KILA IJUMAA
READ MORE
Kikao cha tathmini ya utendaji wa Shule ya Uhandisi Mahiri na Uongozi (SoPEL) kimefanyika leo, tarehe 6 Oktoba 2025, katika ofisi za shule hiyo zilizopo Morogoro, ambazo pia ni ofisi za ERB mkoa wa Morogoro. Kikao hicho kilijadili na kuwasilisha ripoti ya tathmini ya utendaji pamoja na mafanikio yaliyopatikana hadi sasa tangu shule hiyo ianze rasmi mwaka jana. Kikao hicho ni sehemu ya utaratibu wa Bodi kuhakikisha kuwa shule hiyo, ambayo ina mchango mkubwa kwa maendeleo ya wahandisi, inafikia malengo na kusudi lililokusudiwa kuanzishwa kwake.
READ MOREThe Engineering Registration Board (ERB) successfully coordinated a special excursion to Mikumi National Park on 28th September 2025, following the 22nd Annual Engineers Day (AED) celebrations held at the Mlimani City Complex, Dar es Salaam, from 25th to 26th September 2025.
READ MOREThe Engineering Registration Board (ERB) successfully organized the ERB Run for STEM on Saturday, 27th September 2025, at the University of Dar es Salaam (UDSM) Grounds. The run aimed at promoting the teaching and learning of science subjects in secondary schools across Tanzania
READ MORE
Dar es Salaam – The Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Works, Dr. Charles Msonde, has called on young people to embrace innovation and resilience, noting that the future of Artificial Intelligence (AI) and technological advancement lies in their hands. Speaking at the closing ceremony of the Youth Engineering Forum (YEF) 2025, themed “Engineering the Future: Youth-Driven Innovative Solutions Transformation,” Dr. Msonde encouraged the youth to use their creativity as a driving force for national development
READ MOREThe Director General of the Commission for Science and Technology (COSTECH), Dr. Amos Nungu, has stressed the importance of young engineers in Tanzania establishing companies to protect and advance their innovations. Speaking during the opening ceremony while officiating the launch of the Youth Engineers Forum (YEF) in Dar es Salaam, Dr. Nungu said sustainable innovation will drive the growth of industries, create jobs, and stimulate the country’s economic development.
READ MOREInduction seminar for new employees was held at Mhandisi Annex, Dodoma office from 8th t0 11th september 2025.
READ MORE
USIKOSE KUPATA NAKALA LA GAZETI LA ERB MWEZI AGOSTI KWA HABARI KEDEKEDE ZA KIHANDISI KUPITIA WEBSITE NA MITANDAO YA KIJAMII
READ MOREinternal audit committee held on friday at mhandisi Annex Dodoma
READ MORE
"ERB imeendesha mahojiano kwa Wahandisi wa Kitaaluma wanaoupgradia hadhi ya kuwa Consultant Engineers na kutoka Consultant Engineers kwenda Independent Consultant Engineers. Hatua hii inalenga kuhakikisha ufanisi, weledi na viwango vya juu vya taaluma katika sekta ya uhandisi." Dar es Salaam PSSSF Commercial Complex ghorofa namba 12
READ MORE
Bodi ya usajili wa Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo (AEQSRB) kutoka Zanzibar wamewasili katika ofisi za Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Dodoma siku ya leo tarehe 21 Agosti, 2025 kwa lengo la ziara ya siku mbili jijini Dodoma. Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha ushirikiano pamoja na kufuatilia utekelezaji wa makubaliano na kubadilishana uzoefu katika uendeshaji wa bodi zote mbili. Aidha ziara hiyo inahusisha utembeleaji wa miradi mikubwa ya Ujenzi, ikiwemo mji wa Serikali Mtumba, ujenzi wa kiwanja cha ndege Msalato na ujenzi wa barabara ya mzunguko (ring road). Ziara hiyo imeongozwa na Arch. Nassir Da-Costa na Mrajis, Mhandisi. Mansur Mohamed, ambapo katika ofisi za ERB Dodoma walipokelewa na mwenyeji wao Msajili Msaidizi Uendelezaji Wahandisi, Mhandisi Veronica Ninalwo aliyemwakilisha Msajili wa Bodi, ERB.
READ MOREMsajili wa ERB Apongeza Wahitimu wa Mafunzo ya Ufundishaji wa Taaluma ya Uhandisi ya SoPEL – Morogoro Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mhandisi Bernard Kavishe, ametoa pongezi kwa wahitimu wa mafunzo ya ukufunzi wa taaluma ya uhandisi yaliyoandaliwa na Shule ya Uhandisi Mahiri na Uongozi (SoPEL), taasisi inayomilikiwa na ERB. Akizungumza katika hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika mkoani Morogoro, Mhandisi Kavishe alieleza kuwa ERB ina imani kuwa wahitimu hao wataimarisha mbinu za ufundishaji na uenezaji wa maarifa katika taasisi wanazofanyia kazi. Aidha, alisisitiza umuhimu wa kuendelea kujifunza mbinu bora za utoaji wa mafunzo ili kuboresha ufanisi wa uwasilishaji. Mhandisi Kavishe pia alieleza kuwa SoPEL inaendelea kuandaa mafunzo mengine yanayohusu Price Adjustment, yakilenga kuwawezesha wataalamu kufahamu kwa kina eneo hilo ambalo mara nyingi halieleweki vizuri. “Serikali hupoteza mapato si kwa sababu ya wizi, bali kwa kukosekana kwa uelewa sahihi wa masuala ya Price Adjustment. Kupitia mafunzo haya, tunatarajia kutimiza malengo ya kuanzishwa kwa SoPEL,” alisema. Kwa upande wake, msimamizi wa shule hiyo, Mhandisi Thereza Laurent, alifafanua kuwa mafunzo hayo yalihusisha zaidi mazoezi ya vitendo ambapo washiriki walipewa nafasi ya kuwasilisha mada wakitumia taaluma na uzoefu wao binafsi katika sekta ya uhandisi. Miongoni mwa wakufunzi wa mafunzo hayo, Mhandisi Gartius Rwenyagira aliwahimiza wahitimu kushirikisha maarifa waliyojifunza na wataalamu wengine ili kuongeza tija katika taaluma. Akizungumza kwa niaba ya wahitimu, Mhandisi Ronald Lwakatare alieleza kuwa mafunzo hayo yamewapa uwezo mkubwa wa kufundisha wenzao kwa kutumia maarifa waliyoyapata. “Tumekuwa tukitegemea wataalamu kutoka nje kuendesha mafunzo, ilhali na sisi tuna uwezo huo. Hatua hii ya ERB ni muhimu kwa maendeleo ya nchi,” aliongeza. Naye Mhandisi Veronica Ninalwo, Mkuu wa Idara ya Uendelezaji wa Taaluma ERB, alimshukuru Msajili kwa mchango wake mkubwa katika kuanzishwa kwa SoPEL, huku akiwataka wahitimu kuwa mabalozi wa shule hiyo na kuendelea kuhamasisha wataalamu wengine kujiendeleza. Katika mahafali hayo, wahandisi 14 kutoka taasisi mbalimbali walikabidhiwa vyeti baada ya kuhitimu mafunzo hayo ya siku saba.
READ MOREEngineering practitioners recently concluded a specialized training course at the School of Professional Engineering and Leadership (SoPEL) in Morogoro. The program, designed to enhance teaching skills and knowledge-sharing among engineers, brought together participants from various institutions across the country. Through practical sessions and peer-led presentations, the course empowered engineers to become more effective trainers and mentors within their fields. The training marks another milestone in ERB’s efforts to build local capacity and promote excellence in engineering education.
READ MORE
ERB Letter Head (Final Approved Update), Download the docx version from the Intranet -> Document menu
READ MORE
ERB inawatakia wafanyakazi wote kheri ya siku ya wakulima Nane Nane
READ MORE
ANNUAL ENGINEERS DAY COMMITTEE held on Mhandisi Annex, for preparation of AED
READ MORE
usikose kutaza kipindi maalumu cha SEAP kupitia star tv
READ MORE
Gharama za kukodi kumbi za ERB, Dodoma, Dar es Salaam na Morogoro
READ MORE
idara ya habari imefanya kikao ambapo ni utaratibu wa idara kukaa kikao kujadili na kufanya tathimin ya kazi zinazofanywa, kikao hiki kilifanyika Dar es salaam na udhuriwa na wadau wengine wa habari
READ MORE
Msajili wa bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) Mhandisi Bernard Kavishe amesema daraja la J.P.MAGUFULI ni daraja lenye viwango vya nyota Tano,kutokana na Daraja hilo kujengwa kwa viwango vya Kimataifa,iwemo kuwa na uwezo wa kupunguza ajali,kujengwa na wahandisi wenye viwango vya kimataifa ,pamoja na matumizi ya teknolojia za kisasa. "Daraja hilo lina njia mbili za kwenda na njia mbili za kurudi ,na njia hizo zimetenganishwa hivo kutokea kwa ajali katika daraja hilo uwezekano ni karibia 0%,Pia daraja hilo inatambulika kimataifa kwa kuwa daraja la sita kwa urefu barani Afrika.". Amesema Mhandisi Kavishe wakati akizungumza na waandishi wa habari katika daraja hilo litakalozinduliwa leo na rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
READ MORE
The Registrar will participate in the opening ceremony of the Kigongo-Busisi Bridge, Mwanza.
READ MORE
The Registrar will participate in the opening ceremony of the Kigongo-Busisi Bridge, Mwanza.
READ MOREThe Board is schedual to conduct a capacity- building session for staffs on Monitoring and Evaluation (M&E) for RNE project support for the Professional Development of Female Engineers from June 17 to 22, 2025 at Morogoro SOPEL Office.
READ MORE
In a strategic move to streamline engineering consulting operations and strengthen regulatory compliance, the Engineers Registration Board (ERB) and the Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) have commenced a retreat in Arusha aimed at guiding the registration process for the TANESCO Engineering Consulting Unit (TANECU). The retreat, held from June 16 to 22, 2025 brings together key representatives from both ERB and TANESCO to deliberate on registration procedures, compliance requirements, and post-registration expectations for TANECU and TANESCO’s engineering staff. The ERB delegation, led by Assistant Registrar Eng. Jamhuri Msabila, includes Eng. Abraham Kaaya (SEAP Programme Officer) and Ms. Lightness Mrema (Registration Officer). This team will be facilitating the sessions and offering detailed insights into engineering regulatory frameworks in Tanzania.
READ MORE
The Engineers Registration Board (ERB) and the Royal Norwegian Embassy (RNE) recently held a fruitful second meeting, solidifying their collaborative efforts to empower female engineers in Tanzania. The partnership supports a three-year program aimed at fostering professional growth and leadership among women in the engineering sector. Under this initiative, 100 female engineering graduates—80 from Mainland Tanzania and 20 from Zanzibar—will undergo training to qualify for professional registration as engineers. Additionally, 35 women professionals will receive advanced training in leadership and management through the "Female Future" program, equipping them to take on roles in boardrooms and executive management. During the meeting, Ms. Camilla Danneving, Councilor at RNE, and Mr. Morten Heide were presented with a special souvenir by the ERB Registrar on behalf of Her Excellency, RNE Ambassador Ms. Ton Tinnes. This gesture symbolized the shared commitment to advancing gender equity and professional development in the engineering field. This collaboration marks a significant step towards enhancing inclusivity and leadership diversity within Tanzania's engineering landscape.
READ MORE
Usikose kutazama kipindi maalumu cha mkutano wa mwaka (EATD) KUPITIA TBC
READ MORE
kikao cha bodi ya ERB kinatarajiwa kufanyika Ijumaa tarehe 13/06/2023 ofisi ya Dar es Salaam PSSSF Commercial complex ghorofa numba 12.
READ MORE
Kikao cha ICT kilichojumuisha wajumbe mbalimbali wakati wa uwasilishwaji wa repoti ya mwaka. kikao hicho kilifanyika ofisi za Dodoma Mhandisi Annex ghorofa ya kwanza
READ MORE
Mtendaji wa mkuu wa bodi ya mfuko wa barabara Mhandisi Rashid Kalimbaga, amesema bodi hiyo itaunga mkono mpango wa Youth acceleration program,mpango ulioanzishwa na bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) kwa lengo la kuwasaidia vijana kujitambua kwa kunoa bunifu na taaluma zao ili waweze kuanzisha biashara zao wenyewe. Mhandisi Kalimbaga ameyasema hayo katika kongamano la vijana katika Sayansi na Teknolojia 2025 (Youth in science and technology summit 2025), lililoandaliwa na taasisi ya SERIS kwa kushirikiana na bodi ya usajili wa wahandisi (ERB). “Nawasisitiza vijana kuwa sio rahisi, lakini inawezekana,na sera ya wizara ya ujenzi ni kuwawezesha vijana kutekeleza miradi ya ndani kwani kwa kufanya hivyo itasaidia taifa kubakiza fedha za ndani ya nchi badala ya kutumia wataalam kutoka nje”amesema Mhandisi Kalimbaga Pia ameeleza kuwa vijana wa kitanzania wakishakuwa wahandisi,wabunifu,wakadiria majenzi na washauri wa miradi wazuri hakutakuwa tena na haja ya kuwachukua wataalam kutoa nje. Awali msajili wa bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) ,Mhandisi Bernard Kavishe amesema licha ya vijana hao kufundishwa masula mabalimbali kuhusu uanzishwaji wa biashara zao ikiwemo namna ya kubuni mawazo ya biashara na uandishi wa andiko la mradi,ERB itaendelea kuwalea vijana watakao andika miradi kwani elimu hiyo haina mwisho. Mhandi Kavishe pia amewataka vijana hao kujiweka sawa kukabili soko la kimataifa kwa kujifunza lugha za kigeni ikiwemo lugha ya kingereza kwani kwenye soko la dunia lugha hiyo haikwepeki. “Nili kwenda kwenye moja ya nchi ya umoja wa Ulaya,na Amerika nimebaini kuwa kuna uhaba mkubwa wa Wahandisi, wataalam wa afya na wataalam wa lishe,Watanzania wanahitajika huko,kwahiyo vijana wa Kitanzania lazima muwe na sifa ya kufikia soko hilo”. Ameeleza Mhandisi Kavishe. Kongamano la Vijana katika Sayansi na Teknolojia 2025 (Youth in science and technology summit 2025),bado linaendelea jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa PSSSF commercial Complex ambapo vijana kutoka sehemu mbalimbali wanapata elimu ya namna ya kubuni, kuandika maandiko miradi pamoja na kuendeleza bunifu zao.
READ MORE
Youth acceleration program,mpango ulioanzishwa na bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) kwa lengo la kuwasaidia vijana kujitambua kwa kunoa bunifu na taaluma zao ili waweze kuanzisha biashara zao wenyewe.
READ MORE
ERB yakamilisha mchakato wa ISO katika ofisi za makao Makuu Dodoma
READ MORE
Kitengo cha enfoncement kwenye mahojiano na wakaguzi kutoka TBS kuhusiana na ISO
READ MORE
Eng. kavishe awahasa wahandisi wa vifaa tiba kusajiliwa na Bodi
READ MORE
ERB yahitimisha mkutano wa mafundi sanifu kwa kufanyaa utalii wa mikumi Morogoro kupitia SGR
READ MORE
OSHA imefanya vipimo kwa wafanyakazi wa ERB, kwa kuhakikisha usalama kazin kwa wafanyakazi
READ MORE
Adv. Mercy G. Jilala leo tarehe 16/05/2025 amehitimu masomo yake ya Uongozi katika Taasisi ya Uongozi. Tumpongeze
READ MORE
We Yesterday invited the NHC Morogoro Manager, Mr Lwitiko, He sent his Engineer and later came accompanied by MS. Lilian, Estate officer = We had a good discussion on a range of things (10 points in the end), from isolating our TANESCO connection, upgrading to 3Phase, expansion of floor area, repairs of loos, tiles and roof, back up Generator installation, the state of basement parking, road/building interphase, safety of the walkway, and signs littering the lobby
READ MORE
KAZI ZA KIHANDISI KWENYE SGR ILIVYORAHISISHA UTALII MIKUMI Safari kuelekea katika hifadhi ya taifa ya mikumi mkoani Morogoro,safari hii imelenga kuonesha ni kwa kaishi gani kazi za kihandisi inavyochechemua sekta zingine, Jijini Dar es salaam, katika stesheni ya MAGUFULI,kituo cha kupandia treni ya mwendo kasi,SAFARI inaanzia hapa kwa kushughudia kazi nzuri iliyotukuka iliyofanywa na wahandisi katika ujenzi wa jengo hili la kisasa, Bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) imeandaa safari ya utalii kuelekea katika hifadhi ya taifa ya Mikumi,lengo likiwa ni kuonesha ni kwa kiasi gani SGR ambayo ni zao la kazi za kihandisi,ilivyo rahisisha usafiri. Kazi hii ya kihandisi kwa hakika imeleta mapinduzi makubwa katika uchumi ikiwemo kuongeza hamasa ya utalii. Katika hifadhi ya taifa ya mikumi kila aliyefika hapa hakusita kueleza umuhimu wa treni ya SGR katika kurahisisha utalii katika hifadhi hii ya taifa ya mikumi,na vivutio vingine katika ukanda huo. Bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) wanasema huu sio mwisho,bali ni mwendelezo wa kuhamasisha shughuli za utalii kwa wazawa na wageni kupitia SGR .
READ MORE
Wahandisi jijini wapata fursa ya kula kiapo leo tarehe 2 mei 2025 katika ofisi za Tanroad, Mwanza
READ MORE
Erb inaendelea na kutoa huduma kanda ya ziwa Mwanza, kwa ukaguzi wa miradi, utoaji leseni na kiapo kwa wahandisi.
READ MORE
ERB inaungana na wafanyakazi wote kusherehekea siku ya wafanyakazi dunuani
READ MORE
Workshop ya ICT documents.. tarehe 28 mpaka 2 may Kuandaa two ICT documents.. 1. Draft Disaster Recovery and Backup Plan 2. Draft AI policy
READ MORE
Bodi ya usajili wa wahandisi (ERB) imeendelea kutoa huduma zake katika mikoa ya kanda ya ziwa ikiwemo Mwanza,Geita,Mara na Kagera. Wakiwa mkoani Geita Maafisa wa ERB wakiongozwa na msajili wa bodi ya Wahandisi (ERB) Mhandisi Bernard Kavishe, wakiambatana na viongozi wa elimu wa wilaya ya Geita, wametembelea shule mbili za za sekondari za Wasichana, Nyankumbu ,pamoja na shule ya sekondari ya Geita. Geita Girls ni shule mpya, miongoni mwa shule kubwa 26 za mama Samia, shule hizi zimejengwa kila mkoa, za sahansi, mahsusi kwa wasichana. Bodi hiyo metembelea katika shule hizo kwa lengo la Kuchagiza ufundishaji na usomaji wa masomo ya Sayansi na Hisabati (STEM), kwa msisitizO maalumu kwa wasichana bila kuwaacha wavulana nyuma. “Sayansi na Hisabati ndio mbegu inayootesha mti wa uhandisi, ndio msingi ambao nyumba ya uhandisi inajengwa” Amesisitiza Msajili wa bodi ya wahandisi, Mha. Bernard Kavishe
READ MORE
ERB imeshiriki maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani ambapo kitaifa imefanyika Mkoani Singida
READ MORE
KATIBU TAWALA WA MKOA WA GEITA ATEMBELEA BANDA LA ERB GEITA. Katika maonesho ya MAT BUILDERS’ EXPO 2025, Kaimu katibu tawala wa mkoa wa Geita Charles Chacha, ametembelea banda la Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), katika maonesho ya MAT BUILDERS’ EXPO 2025 yanayoendelea katika Mkoa wa Geita katika viwanja vya Samia Suluhu Hassan Bombambili katika Manispaa ya Geita. Akiwa katika banda la ERB Chacha ametoa msisitizo kwa bodi kutembelea katika miradi mikubwa inayotekelezwa katika mkoa huo,ili ERB ihakikishe miradi hiyo inatekelezwa kwa viwango na kwa ubora unaohitajika. Katibu Tawala Chacha pia amefungua maonesho hayo rasmi ya MAT BUILDERS’ EXPO 2025 ambayo yanaendelea katika mkoa huo,huku kilele chake ikitarajiwa kuwa tarehe 27 Mei 2025.
READ MORE
ERB yashiriki maonyeshesho ya MAT BUILDERS AND EXPO Mjini Geita kuanzia tarehe 18 hadi tarehe 19 mwezi Aprili 2025
READ MORE
WANASHERIA KUSHIRIKI MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI
READ MORE
Earlier today, 13 April 2025, had a priviledge to officiate a graduation veremony on the program on construction claims and mediation in construction disputes Mwenyekiti was the guest of honour - The class was mostly retired army officers, mostly engineers, predominanly male. The course was mediation intensive, with a pinch of project and contract mqnqgement skills. India is drifting away from arbitration, as it has proven not to yield intened results, much as is ADR, there is a loop hole leading back to litigation, tajing it back to square one, timewise. We have today learned alot and planted another seed for collaboration in ADR spave = Good Night
READ MORE
16th CIDC Vishwakarma Awards, 11th April, New Delhi
READ MORE
Kaimu Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), CPA. Paul Bilabaye, amewataka wahandisi wahitimu wanaoshiriki mafunzo ya vitendo kupitia programu ya SEAP, kuhakikisha wanazingatia miiko na maadili ya taaluma yao wakati wa utekelezaji wa majukumu yao. CPA Bilabaye ameyasema hayo wakati wa kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa siku tatu,ambapo ameeleza kuwa taaluma ya uhandisi ina miiko yake,hivyo ni wajibu wao kuhakikisha wanajitofautisha katika utendaji wao ukilinganisha na wale wanaofanya kazi hizo.
READ MORE
Balozi wa Norway nchini Tanznaia, Bi. Tone Tinnes amesema nchi ya Norway itaendelea kuunga mkono wahandisi kutokana na umuhimu wao katika kuinua uchumi wa nchi, Balozi Tinnes, amesema uchumi wa taifa la Norway umekuzwa na wahandisi baada ya kubadili maporomoko ya maji na kufanya kuwa nishati ya umeme na mbolea, ambapo baadae pia katika miaka ya 70 waligundua gesi na mafuta ambayo pia iliendelezwa na wahandisi. Ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya 19 ya vitendo kwa wahandisi wahitimu, mafunzo ambayo yanajulikana kwa jina la SEAP, mpango ambao umeanza mwaka 2003. Mafunzo hayo hutolewa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kwa kuwapatia wahandisi wahitimu kufanya mafunzo ya vitendo kwa kipindi cha miaka mitatu. “kupitia mradi huu wa SEAP mpaka sasa tumedhamini kwa takribani miaka 15,na lengo letu ni kuona wahandisi wanawake wanaongezeka ,ili kuwe na uwiano wa kijinsia katika fani hiyo. Amesema balozi Tinnes.
READ MORE
The Board has scheduled a preliminary inquiry to review the allegations of professional misconduct reported to the Board by the ministry of done by engineers of Tarula in Mara region and Dar es salaam city Council in several engineering project, the meeting is Intended to provide an opportunity to engineers to present their defense.
READ MORE
The Engineers Registration Board (ERB) has conducted a site visit to the Arusha Football Stadium construction project to monitor compliance with regulations. This stadium is key to preparing for AFCON 2027 and will serve as a catalyst for economic development and tourism in Arusha City.
READ MORE
Data Protection Training The Board Members and Management Team will commence their visit to Arusha with a training session on Personal Data Protection at Corridor Springs Hotel. The training facilitated by the Personal Data Protection Commission (PDPC). The training is aiming on Personal Data Protection is to enhance the Board Members' and Management Team's understanding of data privacy principles, compliance requirements, and best practices, enabling them to safeguard sensitive information and ensure adherence to regulatory standards. The trip will conclude with a visit to Tarangire National Park, offering an opportunity for relaxation and team-building activities.
READ MORE
ERB imekutana na Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa mazungumzo yaliyolenga kubadilishana uzoefu katika fani ya uhandisi. Mazungumzo hayo yaliongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TASAC, Bw. Mohamed M. Salum, akiwa pamoja na wajumbe wake, huku wajumbe wa ERB wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Ithibati ya Mitaala ya Taaluma ya Kihandisi, Eng. Nerey Mvungi. Katika mazungumzo hayo, ERB ilipata nafasi ya kujifunza zaidi kuhusu uhandisi wa bahari, ikiwemo changamoto zilizopo, fursa zinazopatikana, na kanuni zinazohusiana na sekta hiyo. Pia, kikao hicho kiliazimia kuandaa kikao kazi kingine ambacho kitashughulikia uandaaji wa mahitaji (requirements) yatakayowezesha wahandisi bahari kusajiliwa na ERB. Hatua hii inalenga kuwawezesha wahandisi bahari kutambulika kitaaluma na kuthibitisha mchango wao muhimu katika kazi za kihandisi wanazofanya.
READ MORE
Msajili anaendelea na ufuatiliaji wa miradi jijini Tanga
READ MORE
ERB imefanya mazungumzo na chuo cha mabaharia kilichopo posta Jijini Dar es Salaam kuhusiana na namna nzuri ya usajili kwa wahatimu wa kihandisi wanahitimu katika chuo hicho.
READ MORE
ERB’s, Engineering Programmes Awards Recognition Committee (EPARC) Evaluates, “Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology Programme Under United African University in Tanzania (UAUT), Kigamboni, Dar es Salaam.
READ MORE
ERB, KUSHIRI KITAIFA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI JIJINI ARUSHA
READ MORE
ERB inathamini na kutambua mchango wa wanawake katika Uhandisi.
READ MORE
ERB inawatakia wanawake wote siku ya mwanamke duniani.
READ MORE
ERB na BAKITA Wajadili Utaratibu wa Tafsiri ya Vyeti vya Taaluma ya Uhandisi kwa Wahandisi Wageni Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) imefanya kikao na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) leo, tarehe 7 Machi 2025, katika ofisi za BAKITA zilizopo jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalilenga kujadili utaratibu wa usajili wa wataalamu wa kigeni wa kada ya uhandisi, hususan kuhusu mchakato wa kutafsiri vyeti vya taaluma ya uhandisi vya wahandisi wageni, ambavyo ni mojawapo ya masharti muhimu katika kupata kibali cha kufanya kazi nchini Tanzania. Kikao hicho kiliongozwa na Ndugu Shaawal Marinda, Mfasiri kutoka BAKITA, na kilihusisha majadiliano ya kina kuhusu njia bora na sahihi za kutafsiri vyeti vya kitaaluma. Lengo kuu lilikuwa kuhakikisha kwamba tafsiri za vyeti hivyo ni za viwango vya juu, zinaendana na mahitaji ya kitaalamu, na zinaeleweka kwa usahihi na wadau husika. Aidha, kikao hicho kililenga kutatua changamoto zilizojitokeza katika mchakato wa tafsiri, kama vile utofauti wa istilahi za kiufundi na kiuhandisi katika lugha mbalimbali. Mazungumzo haya yanatarajiwa kuimarisha mchakato wa usajili wa Wahandisi wageni na kuweka msingi thabiti wa ushirikiano kati ya ERB na BAKITA kwa maendeleo ya sekta ya uhandisi nchini.
READ MORE
Wafanyakazi wa kitengo cha RECORDS wameshiriki mkutano wa Records & Archives Management Professional Management (TRAMPA) unaofanyika jijini Mbeya.
READ MORE
Tanzania Delegation in Gaborone, Botswana today, 4th March, 2025
READ MORE
The Engineers Registration Board (ERB) is set to establish the Engineering Programmes Awards Recognition Committee (EPARC), a strategic initiative to streamline the recognition and accreditation of engineering programs. EPARC will be tasked with drafting its charter, developing a manual for diploma engineering program recognition, creating activity schedules, establishing procedures for accrediting engineering programs, and compiling a comprehensive database of higher education institutions and colleges offering engineering diplomas and programs. This move is expected to enhance the Board's capability to efficiently and thoroughly assess and recognize engineering programs. The committee will be responsible for approving engineering programs, monitoring their implementation to ensure compliance with quality standards, and recommending program suspension where necessary. Additionally, EPARC will carry out engagement with institutions such as the United African University in Tanzania, the Dar es Salaam Marine Institute (DMI), BAKITA, and TASAC to address critical engineering matters, including program recognitions requirements. These plans were discussed during a meeting held at the ERB offices in Dar es Salaam, located at the PSSF Commercial Complex chaired by Eng. Prof. Nerey Mvungi and coordinated by the ERB secretariat. The session emphasized the Board's commitment to advancing excellence in engineering education and professional practice standards.
READ MORE
ERB imeshiriki mbio za Annual Engineers Run zinazofanyika, nchini Uganda, ambapo wawakilishi kutoka ERB wameshiriki wakiongozwa na Msajili wa Bodi hiyo
READ MORE
ZOEZI LA KUINGIZA BAJETI MPYA MWAKA WA FEDHA 2025/26 MOROGORO
READ MORE
ERB imekutana na wawakili kutoka EACOP wakiongelea maswala ya compliance kwenye miradi
READ MORE
KIKAO CHA BUDGETING OFFICERS , MOROGORO KUANZIA TAREHE 26/02/2025 HADI 28/02/2025
READ MORE
ERB inazidi kubarikiwa, CPA. Kassim Kassim na mweza wake wanatarajia kufunga ndoa mwezi Mei mwaka huu. Tumpongeze mtumishi mwenzetu kwa hatua hii muhimu katika maisha yake pamoja na kumshika mkono kuelekea kuhitimisha jambo hilo.
READ MORE
ERB Partners with EAC and GIZ to Advance Digital Tool for Engineers The Engineer Registration Board of Tanzania (ERB Tanzania) is collaborating with the East African Community (EAC) on a groundbreaking initiative to promote regional trade and integration through digitalization. The project, titled "Digitalization for East African Trade and Integration (DIGEAT)," is funded by the German Federal Ministry for Economic Cooperation and Development (BMZ) and implemented through Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ). A key component of this project is the development of a Mutual Recognition Agreement (MRA) Digital Tool aimed at simplifying the issuance of Mutual Recognition credentials within the EAC. These credentials will facilitate the mobility of engineering professionals across member states, fostering regional integration and economic growth. To achieve this goal, GIZ EAC engaged a consulting firm from Pakistan to design, develop, and deploy the digital tool. Two experts from the consulting team, Nisar Muhammad Faisal and Zahid Fatima, actively contributed to the initiative through virtual participation on the ZOOM platform. A milestone meeting for this project took place at the ERB headquarters in Dodoma on February 24, 2025. The gathering brought together key stakeholders to review progress and strategize on the next steps for the successful implementation of the MRA Digital Tool. This collaborative effort underscores ERB commitment to advancing the engineering profession while aligning with regional and international standards. It also highlights the vital role of technology in enhancing professional mobility and driving economic integration across East Africa.
READ MORE
Msajili ameshiriki mbio za Kill Marathon, leo tarehe 23 Feb. 2023
READ MORE
Bi. Sharon Kissimbo amechumbiwa siku jana tarehe 22/02/2025 na anatarajia kufunga ndoa mwezi Mei mwaka huu. Tumpongeze mtumishi mwenzetu kwa hatua hii muhimu katika maisha yake pamoja na kumshika mkono kuelekea kuhitimisha jambo hilo.
READ MORE
Culture change seminar in Dar es Salaam Office
READ MORE
Hongera kwa Eng. Veronica Ninalwo (AR-PDA), Adv. Mercy Jilala (Head of Legal Unit) na Eng. Angela Andrew (Head of ICT Unit) kwa kuhitimu Programu ya Mwanamke Kiongozi (Female Future Program)
READ MORE
Kupitia kikao cha wafanyakazi, upimaji wa afya umefanyika wa wafanyakazi kupima afya zao na kupata elimu kuhusu magonjwa yasio ambukizwa
READ MORE
Staff wa Ofisi ya Dar wakifuatilia kwa njia ya mtandao kikao kazi cha wafanyakazi
READ MORE
Msajili wa Bodi ya Wahandisi, Mhandisi Bernard Kavishe, leo tarehe 18 Februari 2025, amefungua na kuongoza kikao kazi cha wafanyakazi wa Bodi hiyo kilichofanyika katika ofisi za Bodi zilizopo Dodoma, kwenye Jengo la Mhandisi Annex, ghorofa ya kwanza. Kikao hiki kinalenga kuwapatia wafanyakazi ujuzi na maarifa muhimu katika nyanja mbalimbali katika utekelezaji wa majuku ya kila siku. Miongoni mwa masuala jadiliwa ni mbinu bora za utunzaji wa nyaraka na kumbukumbu pamoja na elimu ya jinsi ya kukabiliana na majanga ya moto, ambayo yametolewa na maafisa kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Kikao kazi hicho cha siku tatu, pia kitajumuisha zoezi la upimaji wa afya kwa wafanyakazi wote, ili kuhakikisha wanakuwa na afya njema inayochangia ufanisi wao kazini. Huu ni utaratibu ERB kuandaa vikao vya wafanyakazi, kwa lengo la kuboresha ufanisi na kuwawezesha wafanyakazi kupata elimu ya kina pamoja na ujuzi unaohitajika katika kutekeleza majukumu yao kikamilifu.
READ MORE
Kikao cha wafanyakazi kinafanyika leo tarehe 18 na 19, Februari 2025, Ofisi za ERB Dodoma
READ MORE
EXIT MEETING ON ASSET MANAGEMENT VERIFICATION REPORT
READ MORE
Kikao cha Msajili na Idara ya fedha na utawala kimefanyika leo tarehe 15/02/2025 katika ofisi ya ERB Dar es Salaam ikiwa ni mwendelezo wa Msajili kufanya vikao na idara na vitengo.
READ MORE
ERB among the, Bronze Sponsors for the 5th e-Government Conference Meeting
READ MORE
Mwendelezo wa Matukio mbalimbali ya Katibu wa Baraza la Uhandisi la India (ECI) Dkt. Priya Ranjan Swarup akiwa na mwenyeji wake Msajili wa Bodi ya Wahandisi (ERB) Mhandisi, Bernard Kavishe wakati alipotembelea Ofisi mbalimbali za Wizara na Taasisi zilizopo katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.
READ MORE
Ujumbe wa Baraza la Uhandisi la India (ECI), ukiongozwa na Dkt. Priya Ranjan Swarup, Katibu wa ECI umewasili katika Ofisi za Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na kupokelewa na Mwenyeji wake Msajili wa Bodi hiyo Eng. Bernad Kavishe jijini Dodoma
READ MORE
Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB) na Baraza la Uhandisi la India (ECI) wameanza utekelezaji wa makubaliano kati yao ambayo yalisainiwa mwezi Disemba 2024 lengo kuu likiwa ni kuchangia maendeleo ya kiuchumi ya nchi hizo.
READ MORE
Arrival of the Engineering Council of India (ECI) Delegation for a five-day working visit to collaborate with ERB.
READ MORE
Msajili wa Bodi ya Wahandisi (ECI) kutoka nchini India Dkt. Priya Ranjan Swarup, akiwa pamoja na ujumbe wake wamewasili nchini Tanzania na kupokelewa na wenyeji wao kutoka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kwa ajili ya ziara rasmi leo Februari 10, 2025 Mkoani Dar es Salaam. Dkt. Swarup atafungua rasmi Semina ya 18 ya utangulizi kwa wahandisi 362 waliojiandikisha katika Mpango wa Mafunzo kwa vitendo (SEAP) pamoja kupata fursa ya kuzungumza na wahandisi wahitimu wapya tarehe 11 Februari, 2025 katika Ukumbi wa PSSS Commercial Complex, Sam Nujoma jijini Dar es Salaam. Taasisi ya ECI ni chombo kikuu kinachosimamia taaluma ya uhandisi nchini India, kikiwa na jukumu la kuhakikisha viwango vya juu vya ubora wa kitaaluma ambapo moja ya malengo yake ni kusaidia kutambulika kimataifa kwa wahandisi na kuongeza fursa za maendeleo ya taaluma ya uhandisi katika maeneo mbalimbali duniani, ikiwemo Tanzania.
READ MORE
Msajili ataenda Rombo kesho jummosi kushiriki mazishi ya aliyekuwa mama mzazi wa waziri wa elimu Mhe. Prof. Adolf Mkenda atarudi Dar es Salaam tarehe 09 siku ya jumalipi.
READ MORE
ERB imefanya mazungumzo na UCC (University Computing Centre), taasisi ya Teknolojia chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kwa mazungumzo muhimu kuhusu kazi zao za kutengeneza mifumo mbalimbali na mafunzo wanayotoa katika maeneo kama AI, Graphics, na zaidi.
READ MORE
MUENDELEZO WA RATIBA YA MSAJILI. MSAJILI AKIWA KWENYE KIKAO NA KITENGO CHA SHERIA
READ MOREKatibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, alisisitiza umuhimu wa kuimarisha Chuo cha Maji, si kwa chuo pekee bali pia kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali za wizara. Aliongeza kuwa utoaji wa PDU's ni muhimu ili kuvutia ushiriki wa watu wengi zaidi. Mhandisi Mwajuma alitoa kauli hiyo alipotembelea banda la Bodi ya Usajili wa Wahandisi wakati wa kufunga Kongamano la Nne la Kimataifa la Sayansi ya Maji, lililofanyika tarehe 20 Januari 2025, katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
READ MORE
Idara ya PDA na Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani Waketi na Msajili
READ MORE
THE 6TH STEERING COMMITTEE MEETING & 3RD SECURITY MEETING HELD ON 31 JAN, 2025 AT ERB DAR ES SALAAM OFFICE
READ MORE
Had a very good meeting with SERIES FOUNDATION - They have a youth event 21 - 24 May 2025 @ PSSSF Commercial Complex
READ MORE
Earlier today - I had a quality time with Zembwela and Maulid KITENGE - CHUMVI
READ MORE
Hongera kwako Eng. Abraham Kaaya kwa kusherekea siku yako ya kuzaliwa. Keki imeliwa leo Dodoma.
READ MORE
Imetokea hitilafu ya umeme ambayo imesababishwa na transforma iliyopo karibu na ofisi ya dodoma mnamo saa tisa na nusu alasiri (9:30) leo tarehe 30 Januari, 2025. Staff wa ofisi ya dodoma mnashauriwa kuwa watulivu wakati taratibu za urejeshaji umeme zikiendelea. Asante.
READ MORE
ERB Participates in the 4th International Maji Scientific Conference The Engineers Registration Board (ERB) proudly took part in the 4th International Maji Scientific Conference held in Dar es Salaam. The event brought together leading experts, researchers, and policymakers to discuss innovative solutions for water resource management and sustainability. The conference served as a platform to exchange knowledge, promote innovation, and strengthen partnerships in the field of water science.
READ MORE
Closing Day of Report Writing Workshop for TANESCO Female Engineers at Morogoro SOPE
READ MORE
ERB Participates in the 4th International Maji Scientific Conference The Engineers Registration Board (ERB) proudly took part in the 4th International Maji Scientific Conference held in Dar es Salaam. The event brought together leading experts, researchers, and policymakers to discuss innovative solutions for water resource management and sustainability. The conference served as a platform to exchange knowledge, promote innovation, and strengthen partnerships in the field of water science.
READ MORE
ERB WILL PARTICIPATE IN THE 4th INTERNATIONAL MAJI SCIENTIFIC CONFERENCE AT MLIMANI CITY, DAR ES SALAAM
READ MORE
ERB Hosts Report Writing Workshop for TANESCO Female Engineers The Engineers Registration Board (ERB) has launched a 10-day workshop on report writing for 23 female engineers from the Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO). The workshop, which commenced on January 20, 2025, is being held at the ERB offices in Morogoro and aims to equip participants with essential skills for preparing professional and detailed reports required for their registration process. This initiative follows a collaborative agreement reached during a meeting between ERB and TANESCO in November 2024, emphasizing the need for a continuous 10-day session to enable participants to complete their draft reports concurrently. The workshop was officially opened by Eng. Bernard Kavishe, the Registrar of the Engineers Registration Board, who highlighted the importance of professional development in advancing the engineering sector. This training aligns with ERB's dedication to empowering Professional Engineers through the School of Professional Engineers (SoPE).
READ MORE
Bodi Ya Usajili Wa Wahandisi inawatakia wafanyakazi wote kheri ya Christmas na Mwaka Mpya
READ MORE
Timu ya rasimu ya mpango kazi imekutana kwa kipindi cha siku mbili katika ofisi za SOPE zilizopo Mkoani Morogoro. Lengo kuu la kikao hiki ni kufanya mapitio na maboresho ya mpango kazi uliopo, huku ikiweka msingi wa kuandaa mpango mkakati mpya wa taasisi. Hatua hii inalenga kuhakikisha kuwa mipango ya taasisi inaendana na mahitaji ya sasa na inalenga kufanikisha malengo ya muda mrefu kwa ufanisi mkubwa zaidi.
READ MORE
Kikao cha maandalizi ya Mpango Mkakati (SP) kinaendelea kwa kushirikisha wadau mbalimbali kutoka taasisi za serikali. Washiriki hao wanajadiliana kwa kina kuhusu masuala muhimu yanayohusiana na maendeleo ya mpango huo. Kikao hicho pia kimehusisha uwasilishaji wa ripoti mbalimbali zilizotayarishwa na timu husika, zikiainisha hatua zilizofikiwa, changamoto zilizopo, na mapendekezo ya kuboresha utekelezaji wa malengo yaliyowekwa. Washiriki wanatoa maoni na mapendekezo yao ili kuhakikisha mpango huo unakidhi mahitaji ya taasisi na jamii kwa ujumla.
READ MORE
Wahandisi Wataalamu 140 wamekula kiapo cha maadili katika hafla ya kongamano na maonesho ya 14 ya Chama cha Wahandisi Tanzania (IET), lililofanyika kuanzia tarehe 04 hadi 06 Disemba 2024 katika ukumbi wa AICC, Arusha. Kiapo hicho kimefanyika leo, tarehe 6 Disemba 2024. Katika hafla hiyo ambayo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa (Mb). Mheshimiwa Majaliwa aliwataka wahandisi waliokula kiapo kuzingatia maadili ya uhandisi katika kazi zao ili kuepuka athari na hatari zinazoweza kujitokeza katika sekta ya ujenzi, akitolea mfano changamoto za kudondoka kwa majengo, jambo ambalo limejitokeza mara kadhaa hivi karibuni. Kwa upande mwingine, Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Lugha Bashungwa, amesisitiza kwamba Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inaendelea kufanya jitihada kubwa kuhakikisha wahandisi wa ndani wanapata fursa zinazolenga kukuza ujuzi na tija, licha ya kwamba kazi nyingi za ukandarasi nchini zinafanywa na kampuni nyingi za nje. Kiapo hicho ni takwa la Sheria ya Bodi ya Usajili wa Wahandisi, Sura ya 63, inayowataka wahandisi kufuata maadili na weledi katika utekelezaji wa majukumu yao.
READ MORE
PICHANI: Timu ya SSP Mission ikiwa katika picha za pamoja na MKUU WA MKOA WA NJOMBE, Mhe. ANTONY MTAKA na KATIBU TAWALA WA MKOA HUO Bi. JUDICA OMAR. Timu hiyo imefika katika ofisi ya mkuu wa mkoa kwaajili ya kutoa mrejesho kwa uongozi wa mkoa baada ya kutembelea shule zipatazo tano (5) ambazo zinatarajiwa kuingia kwenye mpango wa SSP kwa mkoa wa Njombe.
READ MORE
Wizara ya Ujenzi, kupitia Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), inatarajia kuanzisha Shule ya Wahandisi Wataalamu (SoPE) ili kuboresha ufanisi na umahiri wa wahandisi na wakandarasi nchini. Akizungumzia mpango huu wakati wa kufunga Maonyesho ya MAT Builders Expo, ambayo yalidumu kwa siku kumi katika viwanja vya Mashujaa, Dodoma, Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, alisema: "Kuanzishwa kwa shule hii ni hatua muhimu ya kuongeza ujuzi na taaluma ya wahandisi wetu, hasa katika zama hizi za mabadiliko makubwa ya teknolojia. Wahandisi wanapaswa kujipanga na kuwa na weledi wa hali ya juu ili kuhakikisha miradi ya ujenzi inaleta matokeo bora." Mhandisi Kasekenya pia alieleza kufurahishwa kwake na mpango huu wakati alipotembelea taasisi mbalimbali za serikali zilizoshiriki maonyesho hayo. Alisisitiza kuwa SoPE itakuwa chachu ya kuwajengea uwezo wahandisi wa kukabiliana na changamoto za teknolojia za kisasa na hivyo kuchangia maendeleo endelevu ya sekta ya ujenzi nchini. Aidha, alitumia fursa hiyo kuipongeza Bodi ya Usajili wa Wahandisi kwa juhudi zao za kuimarisha sekta ya ujenzi kupitia mpango huu wa shule ya wataalamu na kwa kushirikiana na taasisi nyingine zinazochangia ukuaji wa teknolojia na ubunifu. Maonyesho haya yaliweka msingi wa ushirikiano na kubainisha njia bora za kukuza ufanisi katika sekta ya ujenzi na uwekezaji wa kisasa nchini.
READ MORE
Bado tupo kwenye maonyesho viwanja vya Mashujaa, Dodoma, hadi tarehe 30 novemba. karibuni sana
READ MORE
Napenda kuwataarifu kuwa kutakuwa na Uchaguzi wa Viongozi wa Bodi ya WAHANDISI SACCOS Ltd katika Mkutano Mkuu wa mwaka 2024 wa wanachama utakaofanyika tarehe 23 Novemba 2024 jijini Dodoma katika ukumbi Kibaoni – Royal Village Hotel kuanzia saa 3.00 Asubuhi. 2. Kwa wanachama ambao wanahitaji kuomba nafasi za uongozi wanatakiwa kuchukua na kujaza fomu na kuzirejesha kabla ya tarehe 20 Novemba, 2024 saa 10:00 Jioni. Fomu zinapatikana kwa katibu wa Chama Ndg. Christian Kiwelu, aliyepo Ghorofa ya chini Jengo la Mhandisi Annex. Imetolewa na: Mha. Erick Nestory KAIMU MWENYEKITI WA BODI
READ MORE
SEAP INDUCTION SEMINAR FROM 19TH TO 20TH NOVEMBER 2024 PSSSF TOWER COMMERCIAL COMPLEX
READ MORE
A day one of the Structured Engineers Apprenticeship Programme (SEAP) Induction Seminar, organized by the erb_tz took place today, November 19, 2024, at the PSSSF Commercial Complex in Dar es Salaam. The seminar, which is scheduled to be held from 19th to 20th November 20, aims to equip 513 graduate engineers who have recently joined the SEAP. The program is designed over 21 years to help graduate engineers gain the professional experience required for qualifying as Professional Engineers, in line with the Engineers Registration Act. This structured training enables them to meet the necessary criteria for registration within the minimum time specified by the Act. The Induction Seminar is designed to equip trainees with the skills, knowledge, and attitudes they need as they embark on their engineering careers. A day one covered essential topics such as an overview of the SEAP, the professional registration process, an introduction to the ERB's Management Information System, and discussions on combating corruption within engineering practice. ERB Board Chairman Eng. Menye Manga, Adv., officiated the seminar and emphasized the importance of acquiring new skills to adapt to the fast-evolving technological landscape in engineering. Eng. Manga urged the participants to focus on continuous learning and innovation, which are key to advancing both their careers and the engineering profession as a whole. “Technology is transforming the engineering field, and it is essential to stay ahead of these changes,” he said. The SEAP Induction Seminar is designed to provide the graduate engineers with the skills and knowledge needed to thrive in their careers and contribute to the growth of Tanzania’s engineering sector.
READ MORE
Watumsihi ERB Wakumbushwa Maadili, Ufanisi Kazini na Uzalendo Kikao cha Wafanyakazi wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kimefanyika tarehe 15 Novemba, 2024 katika ukumbi wa St. Gasper jijini Dodoma. Kikao hiki ni sehemu ya utaratibu wa Bodi wa kufanya vikao vya mara kwa mara ili kuwakumbusha wafanyakazi na kuwajengea uelewa kuhusu masuala mbalimbali ya kiutumishi. Katika kikao hicho, Msajili na Mtendaji Mkuu wa ERB, Mhandisi Bernard Kavishe, amewataka watumishi kuzingatia maadili na nidhamu katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku. Aidha Mhandisi Kavishe amewataka watumishi kujiendeleza kimasomo na kuongeza weledi ili kufikia malengo ya taasisi kwa ufanisi zaidi. Kwa upande mwingine watumishi wametakiwa kuwa wazalendo ili kuwa na fikra za kujenga kwa lengo la kuisaidia taasisi kufikia mafanikio. Watumsihi ERB Wakumbushwa Maadili, Ufanisi Kazini na Uzalendo Kikao cha Wafanyakazi wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kimefanyika tarehe 15 Novemba, 2024 katika ukumbi wa St. Gasper jijini Dodoma. Kikao hiki ni sehemu ya utaratibu wa Bodi wa kufanya vikao vya mara kwa mara ili kuwakumbusha wafanyakazi na kuwajengea uelewa kuhusu masuala mbalimbali ya kiutumishi. Katika kikao hicho, Msajili na Mtendaji Mkuu wa ERB, Mhandisi Bernard Kavishe, amewataka watumishi kuzingatia maadili na nidhamu katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku. Aidha Mhandisi Kavishe amewataka watumishi kujiendeleza kimasomo na kuongeza weledi ili kufikia malengo ya taasisi kwa ufanisi zaidi. Kwa upande mwingine watumishi wametakiwa kuwa wazalendo ili kuwa na fikra za kujenga kwa lengo la kuisaidia taasisi kufikia mafanikio. Kwa upande mwingine, watumishi wamepata fursa ya kujifunza kuhusu namna ya kuvaa kwa staha katika maeneo ya kazi, na jinsi ya kutambua na kukabili matatizo ya afya ya akili maeneo ya kazi. Watumishi wameshukuru uongozi wa Bodi kwa kuendelea kuandaa vikao vya aina hii, kwani vimekuwa na mchango mkubwa katika kujenga umoja na mshikamano katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku na kuboresha utendaji kazi na kujenga timu imara ndani ya ERB.
READ MORE
Imani Martin, a recent mechanical engineering graduate from NIT and his incredible team have won the prestigious AfrInnovate Youth Challenge (AYC)! 🏆 ✨ This competition was powered by E3Empower Africa, Junior Achievement Africa, and the Zzurich Foundation. Through a program organized by ERB, in partnership with E3Empower Africa and SERIS Foundation, Imani showcased his innovative idea—the Smart Eggs Incubator—which emerged as the overall winner! 🚀🐣 The competition in Arusha brought together 10 top teams from an initial 490 entries. Each team took home $500, with the third-place winners earning $1,000, second place $2,000, and Imani’s team claiming the grand prize of $3,000! In additional 💵💪 Now, Eng. Imani is gearing up to represent Tanzania at the regional finals in January, competing with the best from South Africa, Uganda, DRC, Côte d'Ivoire, Togo, and Burkina Faso. 🌍🔥 Let’s wish him all the best as he takes Tanzania to the next level! 🇹🇿👏
READ MORE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeipongeza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kwa utendaji bora. Hayo yamebainishwa na wajumbe wa kamati hiyo wakati Bodi ilipowasilisha taarifa ya utendaji wake kwa mwaka wa fedha 2023/2024 katika Ofisi za Bunge leo, tarehe 9 Novemba 2024. Msajili na Mtendaji Mkuu wa ERB, Mhandisi Bernard Kavishe amewasilisha taarifa hiyo mbele ya kamati, ambayo imejumuisha sehemu kuu nne ikiwemo majukumu ya Bodi, mafanikio yaliyopatikana, Programu za Uendelezaji wa Wahandisi, na malengo ya baadaye ya Bodi. Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mheshimiwa Japhet Asenga (Mb), amesema kwamba ERB imekuwa mfano mzuri wa kuigwa na Bodi nyingine. Aliongeza kuwa taarifa ya utendaji wa Bodi imeonesha wazi mafanikio yake na mikakati yake ya baadaye. “Natamani taasisi nyingine zinazofanya majukumu ya Bodi kuiga mfano wa ERB. Taarifa hii ni nzuri na imeainisha mambo muhimu katika utendaji wake,” alisisitiza Asenga. Uwasilishaji wa taarifa
READ MORE
MATENGENEZO YA GETI JIPYA, OFISI YA DODOMA YANAENDELEA YAKIAMBATANA NA MATENGENEZO MENGINE
READ MORE
OFFICIAL LOGO FOR UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
READ MORE
Join us at the Russian Education Expo on October 30, 2024, in Dar es Salaam! 🎓 Discover amazing study opportunities in Russia with ERB. Don't miss the chance to explore diverse programs, meet experts, and shape your future!
READ MORE
The intranet is now accessible via the internal office network. For remote access outside the office, please use the ERB VPN.
READ MORE
Zoezi la ukaguzi linaanza rasmi leo tarehe 28 Oktoba 2024, kwa lengo la kuboresha ufanisi na uwajibikaji katika taasisi. Zoezi hili linafanyika ofisi ya Dodoma.
READ MORE
The Registrar has returned from Brussels, Belgium, where he was engaged in MRA- EAC Chairman duties.
READ MORE
USIKOSE KUANGALIA KIPINDI MAALUMU CHA EAD KUPITIA LUNINGA YAKO YA TBC LEO TAREHE 25/10/2024
READ MORE
The ERB, IET-Women Chapter, E3mpower Africa, and the Association of Women Doctors Tanzania (MEWATA) joined forces to inspire young girls and boys to pursue science studies with enthusiasm! Alongside this, we provided essential reproductive health education, laying the foundation for a healthier and brighter future for youth in secondary schools across Tanzania. Together, we’re building pathways to success and well-being for the next generation. 🌱✨ #STEMEducation #HealthyLiving #YouthEmpowerment #BuildingTheFuture
READ MORE
The ERB, IET-Women Chapter, and the Association of Women Doctors Tanzania (MEWATA) recently visited a school in Kaliua District, Tabora Region, to inspire young girls to embrace science and technology. Alongside this, we provided vital reproductive health education, equipping them with the tools for a brighter and healthier future. Together, we're paving the way for stronger, empowered young women in secondary schools across Tanzania. 💪🏾💡
READ MORE
Morogoro, October 22, 2024, the Engineers Registration Board (ERB) held a stakeholders workshop for the Youth Engineers Acceleration Programme (YEAP) at ERB offices in Morogoro. The event engaged several participants to review and discuss the proposed document for the programme. During the workshop, Dr. Tobias Swai, a University of Dar es Salaam member of academic staff presented the YEAP proposal, outlining its objectives and anticipated outcomes. ERB is spearheading the development of the YEAP on behalf of the Ministry of Works (MoW). This initiative aims to empower young professionals by fostering entrepreneurship and innovation, enabling them to establish productive and sustainable business ventures. The YEAP will provide youth entrepreneurs in engineering with essential soft skills, mentorship, and preferential opportunities to engage in implementation of actual projects with major contracting authorities such as TANROADS, RUWASA, TARURA, and TANESCO. The programme will be offered physically and online, and will consist on 10 learning modules which will lead to a development of a business plan which will be preceded by 26 weeks of practical actual work implementation. YEAP is estimated to take 100 youths and create business ventures which will employ directly about 3000 people for the two years of implementation. Monitoring and Evaluated will be undertaken internally and independently to ensure the success of the project. The ERB looks forward for a collaborative efforts from all stakeholders in empowering the next generation of engineering professionals and fostering a culture of innovation and entrepreneurship in the Tanzania.
READ MORE
YOUTH ACCELERATION PROGRAMME (YEAP) STAKEHOLDERS WORKSHOP
READ MORE
Professional Entrepreneurship and Innovation Training
READ MORE
MSAJILI NA MTENDAJI MKUU WA ERB KUFANYA MKUTANO NA DIASPORA
READ MORE
Mafunzo ya Internation Organisation of Standards yamefanyika ofisi za Dar es Salaam ambayo yamehusisha asilimia Kubwa ya watumishi wote wa ERB wakiwemo wale waliohudhuria Virtually.
READ MORE
Staff wa ofisi ya Dar es Salaam wameandaa hafla fupi ya kumuaga Bruno Mkonyi na Kumtakia kila la kheri kwenye majukumu yake mapya. Akiongea katika hafla hiyo Bruno ameshukuru na kuahidi ataendelea kuwa sehemu ya ERB siku zote.
READ MORE
The Engineers Registration Board (ERB) is participating in the Global Engineering Conference (GECO) hosted by the World Federation of Engineering Organizations (WFEO) from October 15 to 18, 2024. Representing the board, ERB Chairman Eng. Menye Manga (Adv.) is engaging with international engineering leaders to discuss key issues affecting the global engineering community. The conference aims to foster collaboration and innovation, focusing on sustainable engineering practices and the role of engineers in addressing global challenges. Eng. Manga's participation underscores ERB's commitment to enhancing engineering standards and promoting professional development on a worldwide scale.
READ MORE
Registrar travelling to Europe from 11th to 29th October, 2024 on a study tour organized by the EAC Secretariet and among other things while in Europe including collaborating with embassies engage engineers in diaspora to explore opportunities in Tanzania.
READ MORE
Inauguration of the Morning Talk today, October 11, 2024 at Mhandisi Annex, focusing on discussing issues related to daily activities.
READ MORE
FAC Committee held at Mhandisi Annex, Dododma on 10th October, 2024
READ MORE
Ni wakati mzuri kula keki tamu, hii ni ERB ni utamaduni wetu. Happy birthday Eng. Veronica Ninalwo
READ MORE
Matengenezo ya Generator Ofisi ya Dodoma yanaendelea leo Jumamosi
READ MORE
Tupo Live katika Maonesho ya 7 ya Madini, Geita
READ MORE
Tunashiriki kwenye maonesho ya 7 ya Madini, Mkoani Geita.
READ MORE
Agreement between Competent Authorities of Engineering Professions in the East African Community (EAC-MRA), Chaired by Eng. Bernard Kavishe, ERB Registrar
READ MORE
ERB itashiriki maonyesho ya 7 ya madini Mkoani geita
READ MOREWatumishi wapya wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) wameanza kupatiwa mafunzo yanayolenga kuwakaribisha rasmi katika utumishi wa umma, ambapo wamekumbushwa kuhusu masuala muhimu kama maadili, nidhamu, na uwajibikaji kazini. Msajili wa Bodi, Eng. Bernard Kavishe, ametoa wito kwa watumishi hao kuzingatia viwango vya juu vya maadili na kujitolea katika majukumu yao. Semina hii ya mafunzo inafanyika kwa siku tatu, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Oktoba 2024, na inalenga kuwajengea msingi imara watumishi wapya ili waweze kutimiza malengo ya Bodi kwa ufanisi.
READ MORE
Happy New Month to all our staff! May this new beginning bring fresh opportunities and continued success for each of you.
READ MORE
Tumefika Salama Geita tayari kushiriki Maonesho ya 7 ya Teknolojia ya Madini (The 7th National Mineral Technologies Exhibition)
READ MORE
WE ARE PLANTING A SEED FOR FUTURE ENGINEERS. KILIMANJARO GIRLS SECONDARY SCHOOL.
READ MORE
Empowering the next generation: Today, ERB visited Kilimanjaro Girls Secondary School to witness the impactful investment in STEM education for girls. Together, we’re fostering a brighter future through science and innovation.
READ MORE
Early today, September 23, 2024, ERB Registrar Eng. Bernard Kavishe visited Old Moshi Girls School as part of the STEM Promotion Mission, aimed specifically at encouraging girls to pursue studies in Science and Mathematics. During his visit, Eng. Kavishe engaged with students through inspiring discussions and hands-on activities, highlighting the importance of these subjects in today’s technological landscape. His initiative seeks to empower young women and break down barriers in STEM fields, fostering a new generation of female leaders in science and engineering.
READ MORE
In recognition of their dedication, Eng. Bernard Kavishe awarded top-performing students in Science, applauding their outstanding achievements. He also acknowledged the vital role of teachers in guiding and supporting students to excel in STEM. This initiative empowers young women, breaks down barriers in STEM, and nurtures future female leaders in science and engineering.
READ MORE
"ERB imeanzisha programu maalum ijulikanayo kama STEM Support Program (SSP) ikilenga kuunga mkono jitihada za Serikali ya awamu ya sita Chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuboresha sekta ya elimu kwa kuongeza idadi ya walimu wa sayansi,Maabara pamoja na Maktaba Mhandisi Kavishe ameyasema hayo leo tarehe 21 Septemba, 2024 wakati wa mahafali ya kidato cha nne ya shule ya Sekondari Kilasara iliyopo Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro.
READ MORE
SOPE kuanzishwa Kukuza Ubora wa Uhandisi Tanzania Morogoro, Septemba 2024 – Shule ya Uhandisi wa Kitaaluma (SOPE), taasisi mpya chini ya Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), imeanzishwa kwa lengo la kuwaandaa wahandisi kwa ujuzi wa vitendo na kitaaluma, bila kutoa vyeti vya kitaaluma moja kwa moja. SOPE itatoa mafunzo maalum, ikijumuisha kozi za usimamizi wa miradi kwa kushirikiana na taasisi zinazotambulika kama PMI na FIDIC. SOPE pia itatumika kama kituo cha maendeleo ya kukuza maarifa mapya katika maeneo kama miundombinu rafiki kwa mazingira, usalama barabarani, na taaluma nyingine zinazoibuka ambazo ni muhimu kwa miradi mikubwa kama ile inayoungwa mkono na Benki ya Dunia. Kupitia kozi fupi na mipango ya utafiti na maendeleo, SOPE inalenga kuboresha ujuzi laini na utambuzi wa kitaaluma kwa wahandisi kote Tanzania. Pamoja na jukumu lake la kitaaluma, SOPE itafanya kazi kama Ofisi ya Kanda ya ERB Mkoani Morogoro, kusaidia shughuli za ufuatiliaji, utoaji wa leseni, na kutoa maendeleo endelevu kwa wataalamu wa kanda hiyo. Kwa kutumia miundombinu yake madhubuti, SOPE inaelekea kuwa kitovu kikuu cha ubora wa uhandisi na uvumbuzi. Aidha, STEM SUPPORTING PROJECT (SSP), unalenga kuongeza ushiriki wa wanawake katika tasnia ya uhandisi kupitia kampeni za kimkakati, ikiwa ni pamoja na marathoni na programu za elimu katika shule. Bodi ya SSP, inayoongozwa na Msajili wa ERB, itahakikisha utekelezaji mzuri wa mipango hii. Kuna mipango ya kutenganisha SOPE na SSP kuwa vyombo tofauti ili kuongeza ufanisi wa kila moja. SOPE, imewekwa kwenye nafasi ya si tu kuimarisha mamlaka ya ERB bali pia kuunda mustakabali wa uhandisi nchini Tanzania.
READ MORE
"On September 17, 2024, in the NHC Office in Morogoro, the future site of the School of Professional Engineering (SOPE) conducted its inaugural EMT meeting. The main goal of the meeting was to organise the several tasks that SOPE will carry out, such as setting up the SOPE office."
READ MORE
Yesterday, Meeting with the WORLD BANK, we presented our projects and initiatives, they will supoort SoPE and SEAP. A World Bank course/standard on GREEN INFRASTRUCTURE will be handed over to SoPE. Kazi Inaendelea
READ MORE
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof Adolf Mkenda, ameshiriki mbio za ERB RUN FOR STEM akiwa ni mgeni rasmi wa mbio hizo ambazo zimeanzia viwanja vya UDASA, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. mbio hizo zinalenga kuchangia fedha kwa lengo la kusaidia ufundishaji wa masomo ya sayansi katika shule za sekondari nchini.
READ MORE
ERB MARATHON RUN FOR STEM KUFANYIKA SEPT 8. Akizungumza na waandishi wa habari msajili wa bodi ya usajili wa wahandisi,Eng.Benard Kavishe amesema Mbio hizo zilikuwa zifanyike Jumamosi hii sasa zitafanyika Jumapili hii septemba 8. Mhandisi Kavishe amesema malengo ya mbio hizo ni kuunga mkono mradi wa SSP (Stem Support Project) ambao umelenga Kuunga mkono juhudi za serikali ya kuboresha sekta ya Elimu. Amesema serikali ya awamu ya sita chini ya rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imeboresha sekta ya elimu kwa kiasi kikubwa hali iliosababisha kuwepo na uhitaji wa kuongeza walimu hususani wa masomo ya Sayansi. Kupitia mradi huo ERB tayari imeshaajiri walimu 20 wa masomo ya sayansi ambapo lengo la mbio hizo ni kuongeza fedha kwaajili ya kuajiri walimu wengine. Mbio hizo zitahusisha kilometa 5,10 na kilometa 21 ambazo zitaanzia na kuhitimishwa katika viwanja wa UDASA CLUB katika chuo kikuu cha Dar es Salaam.
READ MORE
WAHANDISI WATAKIWA KUENDANA NA KASI YA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa rai kwa Wahandisi nchini kuendana na kasi ya mabadiliko ya Teknolojia mbalimbali ikiwemo ya Akili Mnemba kutoa suluhu ya changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii. Bashungwa ameeleza hayo leo Septemba 05, 2024 wakati akifungua Maadhimisho ya 21 ya Siku ya Wahandisi iliyobeba kauli mbiu “Kuandaa Nguvukazi ya Uhandisi katika zama za Akili Mnemba - Mafunzo na Kuimarisha Ujuzi wa Watalaam wa Kada ya Uhandisi”. “Tumieni fursa hii kutafakari changamoto mbalimbali za shughuli za kihandisi zenye mahusiano ya moja kwa moja na maendeleo ya nchi yetu, badilishaneni mawazo na kuona ni teknolojia ipi itasaidia kutatua changamoto”, amesema Bashungwa.
READ MORE
Wahandisi Vijana nchini wameshauriwa kutumia fursa mbalimbali kupitia ujuzi na ubunifu waliokuwa nao ili kuwa wajasiriamali na kuleta mabadiliko chanya kwao na Taifa kwa ujumla. Ushauri huo umetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhandisi, Zena Said leo, Septemba 4, 2024 wakati akifunga Jukwaa la Wahandisi Vijana jijini Dar es Salaam lililobebwa na kauli mbiu isemayo “Ujasiriamali na Uhandisi, kuongeza Kasi kwa Wahandisi Vijana kufikia Ubora” ambalo limeratibiwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)
READ MORE
SERIKALI YAWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAHANDISI WAZAWA Serikali imesema kuwa imeandaa mkakati maalum wa kutoa fursa za ajira na kutengeneza mazingira wezeshi kwa wahandisi wazawa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini ili kuwainua kichumi na kuleta maendeleo nchini. Ameyasema hayo, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mheshimiwa Patrobas Katambi leo, Septemba 3, 2024 wakati akifungua Jukwaa la Wahandisi Vijana jijini Dar es Salaam lililobebwa na kauli mbiu isemayo “Kuwainua Vijana katika safari yao ya Taaluma na Biashara” ambalo limeratibiwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB).
READ MORE
wafanyakazi wa ERB wakiwa mazoezini katika viwanja vya UDASA, Dar es salaam kuelekea ERB MARATHON RUN FOR STEM, ambapo kilele chake inatajariwa kufanyika tarehe 7 september 2024
READ MORE
Engineers Registration Board (ERB) to Host Three Major Events in September The Engineers Registration Board (ERB) is set to hold three major events in the first week of September 2024, aimed at promoting and advancing Science, Technology, Engineering, and Mathematics (STEM) education in the country, providing training, and enabling young engineers to achieve their goals.
READ MORE
ERB imeshiriki mbio za CRDB Marathon kama sehemu ya maandalizi kuelekea mbio za ERB Marathon Run for STEM. Mbio hizi zina lengo la kuchangisha fedha ambazo zitatumika kulipa posho kwa walimu wanaojitolea kufundisha masomo ya sayansi katika shule za sekondari. Kupitia ushiriki huu, ERB inaonyesha dhamira yake ya kuunga mkono elimu ya sayansi na teknolojia, ikilenga kuimarisha msingi wa taaluma hizo kwa wanafunzi wa sekondari nchini.
READ MORE
ERB imeshiriki mbio za riadha za CRDB Marathon leo tarehe 18 Agosti, 2024 ikiwa ni sehemu ya kupasha misuli kuelekea ERB MARATHON FOR STEM tarehe 07 september, 2024
READ MORE
The International Agricultural Exhibition will be hosted at the Nzuguni Nanenane Ground in Dodoma, the capital city of Tanzania. This prestigious event is anticipated to attract over 500 exhibitors from different countries. Embrace Visionary Leadership for Agricultural Transformation
READ MORE
ERB inaendelea na ziara yake mkoani Mbeya, kwa kukagua miradi na kuhakikisha wahandisi wamesajiliwa
READ MORE
"ERB had the privilege of participating in exhibitions in the Highlands of Southern Mbeya, where we received a fantastic response from engineers! We also had the opportunity to visit ongoing construction projects in the region, gaining insights and fostering valuable connections for the future of engineering in Tanzania.
READ MORE
ERB is actively visiting key institutions including TANROAD, TARURA, RUWASA, TEMESA, TBA, CRB, and AQRB across Mbeya and Songwe regions. Our mission? To ensure all engineers are registered with the board and to address various engineering challenges. Together, we’re building a stronger engineering future for Tanzania
READ MORE
ERB has started project inspections in the Southern Highlands, Mbeya! We're visiting TANROAD, TARURA, TBA, and TEMESA to meet with engineers and ensure professional standards are upheld. #EngineeringExcellence
READ MORE
ERB's STEM Support Programme is addressing critical challenges in STEM education by supporting volunteer teachers and equipping labs. Together, we're building a brighter future for engineering in Tanzania. #STEMSupport #EducationMatters #EngineeringFutureERB's STEM Support Programme is
READ MORE
🌍 Exciting news from Zanzibar and mainland Tanzania! The Registration Board of Architects and Building Appraisers and the Engineers Registration Board are collaborating to drive the SEAP project forward. Key executives are set for specialized training in Dodoma to ensure effective management and oversight. #SEAPProject #EngineeringExcellence#CapacityBuilding
READ MORE
ERMS will be full operational with effect from 1st July, 2024
READ MORE
The Engineers Registration Board (ERB) is making great strides in creating a comprehensive database for Tanzanian engineers living overseas. This initiative, led by the Permanent Parliamentary Infrastructure Committee, aims to harness their expertise for national development. With collaborations from institutions like the University of Dar es Salaam and the Ministry of Foreign Affairs, the project seeks to identify, engage, and document the skills of our diaspora engineers. This database will play a crucial role in involving them in national projects and boosting economic growth. Stay tuned for more updates as we continue to refine and implement this important project! 🇹🇿✨ #Tanzania #Engineering #Diaspora #NationalDevelopment #ERB #EconomicGrowth
READ MORE
This is to inform you that she will be away from Duty Station from July 1st, 2024 to July 15th, 2024, in order to complete her academic term exams.
READ MORE
In order to advance the engineering field for engineers in the nation, erb has held discussions with delegates from the Russian embassy. The purpose of this discussion is to facilitate knowledge and experience sharing between Tanzanian and Russian engineers. The conversation also aimed to establish positive ties with the Russian Board of Engineers, which will facilitate the opening of doors for Tanzanian engineers to visit Russia in order to further their education and develop their engineering expertise.
READ MORE
A SEMINAR FOR GRADUATE ENGINEERS THROUGH THE SEAP PROGRAMME WILL BE CONDUCTED BY ERB IN COLLABION WITH TAESA, WITH THE GOAL OF PREPRADING GRADUATE ENGINEERS TO BE THE BEST IN THEIR FUNCTIONAL DUTIES. The seminar is scheduled to take place from June 24 to 26, 2024, at the PSSSF Commercial Complex in Dar es Salaam.
READ MORE
PSSF imetoa mafunzo kwa wafanyakazi wa ERB, ambapo walipata fursa ya kujifunza huduma zitolewazo na Mfuko huu wa wafanyakazi. Pia walipata fursa ya kujifunza jinsi ya kufungua account ya uwanachama kupitia tovuti ya PSSSF ambayo itasaidia mchangiaji kuona utoaji wa michango yake.
READ MORE
Leo msajili atahudhuria Hafla ya Gawio na Michango kutoka Mashirika na Taasisi za Umma, itakayofanyika Ikulu, Dar es Salaam.
READ MORE
EXECUTIVE LEADERSHIP PROGRAM FOR ENGINNERS REGISTRATION BOARD OF DIRECTORS AND SENIOR MANAGEMENT WHICH WILL BE COORDINATED BY UONGOZI INSTITUTE IN ARUSHA
READ MORE
Kupitia kikao cha wafanyakazi kilichofanyika jana, Msajili aliwapatia wafanyakazi vyeti vya shukrani kwa ushiriki wao mzuri kwenye maadhimisho ya siku ya Mafundi Sanifu iliyofanyika tarehe 23-24/05/2024, Jijini Dodoma kwenye ukumbi wa Mabeyo Hall.
READ MORE
Masajili wa Bodi ya Wahandisi (ERB) Eng. Bernard Kavishe akiongea wakati wa kikao caha wafanyakazi kilichofanyika leo tarehe 05 June, 2024 katika ofisi za Makao, Dodoma ambapo alisisitiza wafanyakazi kufanya kazi kwa weledi na ufanisi. Na pia kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili wanyakazi. Bodi imejiwekea utaratibu wa kuwa na vikao vya wafanyakazi ili kushirikishana masuala mbalimbali ya kiutumishi na utekelezaji wa majukumu ya kilasiku.
READ MORE
MABADILIKO YA CHEO CHA MKUU WA TAASISI NA KUHAMA KWA OFISI ZA MAKAO MAKUU (PPRA)
READ MORE
We are in the Tanga Region, celebrating Education, Skills, and Innovation Week. Motto: Education, Skills, and Innovation for a Competitive Economy
READ MORE
The Erb family would like to express our heartfelt gratitude for your dedicated service in public office. We wish you a healthy and happy retirement. God bless you for your excellence and commitment throughout your years of government service
READ MORE
Msajili amesafiri leo tarehe 19 May 2024, kuelekea mkoa wa Dar es Salaam na atarejea Mkoani Dodoma tarehe 22nd May 2024.
READ MORE
Kesho saa tatu kamili asubuhi Boardroom kutakuwa na kikao cha Watumishi wote kuhusiana na AETD 2024 ili kupata uelewa wa pamoja kuhusu tukio hilo na majukumu tuliyonayo. Watumishi wote mnahimizwa kushiriki kikao hicho bila kukosa, kwa wale wa DSM mtashiriki kupitia zoom. Halikadhalika saa tisa kamili jioni kutakuwa na kikao cha watumishi ambao watakuwa wanashughulika na masuala ya mfumo wakati wa AETD 2024.
READ MORE
Tunasherehekea siku ya kuzaliwa ya Eng Mary Nindi leo tarehe 15/05/2024.
READ MORE
Msajili akifungua Maandalizi ya Mpango wa Manunuzi kwa Idara zote kwa mwaka wa fedha 2024/2025
READ MORE
WORKING SESSION FOR PREPARATION OF ANNUAL PROCUREMENT PLAN FOR FINACIAL YEAR 2024/2025
READ MORE
Leo Mei 7, 2024 wafanyakazi wa ofisi ya ERB Jijini Dodoma wamepata mafunzo ya matumizi ya sahihi ya kidigitali (Digital Signature)
READ MORE
The Registrar will be in NYERI from Monday, May 6, to Saturday, May 11, 2024, at the invitation of EBK to participate in the EBK Engineering Cooperation Agreement and, separately, the EPC2024 and EAC MRA meetings.
READ MORE
DIGITAL SIGNATURE exercise and training will be conducted from 06th - 10th May 2024 to all staff in Dodoma.
READ MORE
Kauli mbiu ya Mei Mosi mwaka huu, "Nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao bora na kinga dhidi ya hali ngumu ya maisha" kitaifa imefanyika Mkoani Arusha uwanja wa Sheikh Amri Abeid na mgeni rasmi akiwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango akimuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
READ MORE
In Geita and Kagera regions, Register will be present from April 27 to 29, 2024, to take part in ERB activities such as Monitoring of Compliance and the development of STEM (science, technology, and maths) for secondary school students as part of the "Planting Seeds for the Future" project. engineers
READ MORE
Tunaungana na watanzania wote kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
READ MORE
Uwepo wa ERB, kanda ya ziwa pia utaambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo, “Oath Taking Session” kwa wahandisi mahiri na Ufuatiliaji, Uzingatiaji na uendelezaji wa Masomo ya Sayansi , Teknolojia na Hisabati (STEM) kwa mwanafunzi wa shule ya sekondari kama sehemu ya mradi unaoitwa “Planting Seeds for Future Engineers”
READ MORE
1. From 15th and 16th April, 2024 in Morogoro-Ministerial Council 2. From 17th and 18th April, 2024 in Arusha - EAC Registration's MRA meeting 3. On 19th April, 2024 - EACOP Dar es Salaam 4. On 20th April 2024, Zanzibar invintation
READ MORE
As you start this new chapter in your lives together, may your love and commitment to each other only deepen and strengthen. Congratulations!
READ MORE
Menejimenti imesafiri kwenda Dar es Salaam kuanzia leo tarehe 02- Aprili, 2024 kwaajili ya shughuli mbalimbali ikiwemo mkutano, monitoring. Baadhi ya staff kutoka idara na vitengo pia wamejumuika katika safari hii.
READ MORE
Msajili ameongozana na baadhi ya watumishi, kushiriki kikao cha baraza la wafanyakazi, Wizara ya Ujenzi mkoani Dodoma
READ MORE
Msajili amesafiri kikazi kuelekea mkaoni morogoro kushiriki Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Ujenzi litakalofanyika kuanzia jumatatu tarehe 15 hadi 16 Aprili, 2024.
READ MORE
Away from duty station from 14th to 17th April, 2024
READ MORE
Kuelekea harusi ya Adv. Alice Moshi, Mbuke Joseph amekabidhi kijiti ikiwa ishara ya kuelekea kwa ndoa ya Adv. Alice baadae mwezi huu. Hongera kwa Adv. Alice
READ MORE
Leo tarehe 05/04/2024 inafanyika hafla ya mafanikio ya miaka mitatu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sekta ya ujenzi itakayofanyika katika ukumbi wa Mabeyo Complex, Dodoma. Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent L. Bashungwa ataeleza mafanikio hayo ikifuatiwa na futari.
READ MORE
Watumishi wa ERB ofisi ya Dar wamemuaga rasmi CPA. Emelia siku ya Alhamisi tarehe 28 Machi, 2024 na kumtakia kila la heri katika majukumu yake mapya. Kukata keki ilikuwa ni ishara ya upendo na furaha!
READ MORE
The 107th board meeting will be held from 27th-28th March, 2024 at ERB Headquarters Office, Dodoma.
READ MORE
TAARIFA YA KUSAFIRI KIKAZI 1. ENFORCEMENT Watumishi 3 wamesafiri kwenda Mkoani Iringa kwaajili ya ufuatiliaji wa miradi (monitoring). Tarehe 18-22 March 2024 Eng Mary NIndi Eng Erick Nestor Eng Christian Kiweru 2. REGISTRATION Watumishi 3 wamesafiri kwenda Mkoani Dar es Salaamkutembelea taasisi za umma kuhusiana na maswala ya kihandisi. Tarehe 17-22, Machi 2024 Eng. Jamuhuri Msabila Eng. Thereza Laurent Eng. Lightness Mrema 3. PROFFESIONAL DEVELOPMENT AFFAIRS Watumishi 3 wamesafiri mmoja Nchini Kenya kikazi na wawili Mkoani Dar es Salaam kwenye mkutano na Benki ya Dunia kuhusiana na maendeleo ya SEAP Eng Veronica Ninalwo Eng Joshua Njurumi Eng Jubilate Kaaya 4. PROCUREMENT UNIT Mumishi 1 amesafiri kwenda Nchini Kenya kikazi Gati Max
READ MORE
CPA Paul Bilabaye akitoa mafunzo ya siku mbili kuanzia tarehe 6-7 Machi, 2024 kuhusu Risk Register kwa wawakilishi wa Idara na Vitengo wakiwa kama Risk Champion. Watumishi wa ofisi ya ERB Dar es Salaam walishiriki kwa njia ya mtandao (Zoom).
READ MORE
ERB in collaboration with AEQSRB will conduct SEAP Induction Seminar in Zanzibar
READ MORE
The 21st SEAP Anniversary begins on February 26, 2024 to February 28, 2024 at ERB Office, PSSSF Commercial Complex Dar es Salaam.
READ MORE
Pursuant to Section 12A of the Engineers Registration Act No. 15 of 1997 and its amendments, the Board with this Notice, informs all Professional and Consulting Engineers that, you are required to posses valid Practising License. The current Licenses expired on December 31, 2022. Renewal of the Licenses is subject to filling of CPD Activities through ERB MIS on individual account of an engineer and attaining a minimum of 90 PDU’s for the past 3 years (2020 - 2022), with evidence of taking Engineers’ Professional Oath and payment of relevant fees through ERB – MIS. In order to facilitate renewal for engineers in the regions, the Board is planning to zonal visits as shown in the attachment
READ MORE
The Engineers Registration Board (ERB) is a statutory body established by an Act of Parliament (Engineers Registration Act No. 15 of 1997). The Board has been given the responsibility and mandate for regulating engineering activities and conduct of engineers and engineering consulting firms in Tanzania. As stipulated under sections 4(e) and 4(f) of the Act, among the main functions of the Board is to monitor the conduct and activities of engineers, including consulting engineers or engineering consulting firms and to promote and maintain professional conduct and integrity of the engineering profession. In order for the Board to achieve its strategic objectives under these functions the Board has employed Monitoring activities.
READ MOREThe Engineers Registration Board (ERB) is a statutory body established by an Act of Parliament (Engineers Registration Act No. 15 of 1997). The Board has been given the responsibility and mandate for regulating engineering activities and conduct of engineers and engineering consulting firms in Tanzania. As stipulated under sections 4(e) and 4(f) of the Act, among the main functions of the Board is to monitor the conduct and activities of engineers, including consulting engineers or engineering consulting firms and to promote and maintain professional conduct and integrity of the engineering profession. In order for the Board to achieve its strategic objectives under these functions the Board has employed Monitoring activities.
READ MORE